MWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo. Katibu wa Idara ya Oganizesheni ya CCM Zanzibar Ndg. Galos Nyimbo akimkabidhi Fomu za kugombea Urais wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Aug
Mwajuma ajitokeza kuwania Urais UPDP Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha UPDP, Mwajuma Ali Khamis amejitokeza katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu. Alikabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salum Jecha.
5 years ago
CCM BlogKHAMIS MUSSA OMAR AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU YA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-Fc62vRTquuU/XvBd6gJ6UCI/AAAAAAAEYDE/xuBTHmQHT8guYb-Gsq_OMVfjZBq2cVKYwCLcBGAsYHQ/s400/KHAMIS%2BMUSSA%2BOMAR%2B%25285%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-7BD0ayGdBfc/XvBeFAb02iI/AAAAAAAEYDI/ZA34dls-1LknAUoMj6u2VxAUkmstII_rQCLcBGAsYHQ/s400/KHAMIS%2BMUSSA%2BOMAR%2B%25286%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-L3_hctxmv4E/XvCAALQWhxI/AAAAAAAEYIk/6Iijcw5ne78RMQLrkAvftXbIzkvzOxgawCLcBGAsYHQ/s72-c/HAMAD%2BMASAUNI%2BYUSSUF%2B%25287%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, HAMAD MASAUNI AJITOKEZA KUOMBA RIDHAA YA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-L3_hctxmv4E/XvCAALQWhxI/AAAAAAAEYIk/6Iijcw5ne78RMQLrkAvftXbIzkvzOxgawCLcBGAsYHQ/s400/HAMAD%2BMASAUNI%2BYUSSUF%2B%25287%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Jan
‘Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza’
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
Habarileo09 Sep
Hamad Rashid kugombea urais Zanzibar
MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) ametangaza kugombea urais wa Zanzibar huku akimtuhumu na kumkosoa Katibu Mkuu wa chama chake, Seif Sharif Hamad.
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Shein aidhinishwa kugombea urais Zanzibar
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.
9 years ago
MichuziDK.SHEIN ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR
Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk.Ali Mohamed Shein akiwa Makamo Mwenyekiti...