‘Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza’
Wagombea nafasi ya urais  kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wameshauriwa kupima afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho, ili kuepuka gharama za matibabu ya mara kwa mara za kiongozi huyo mkubwa wa nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogMWANAMKE WA KWANZA AJITOKEZA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
Kada wa Chama cha Mapinduzi Mhe. Mwatum Mussa Sultan akiwa Mwanamke wa Kwanza kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar akiwa ni Mwanachama wa 11 kujitokeza kuchukua Fomu leo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar. Akionesha mkoba ukiwa na Fomu za Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa akiwaonesha Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo leo.
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wagombea urais wapime afya zao
Ni wazo ambalo limekuwa, lakini halizungumzwi bayana, lakini Jukwaa la Katiba lilidiriki kuweka bayana kuwa wagombea wa urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao, wapime afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
TCIB: Wagombea uchaguzi wapimwe afya
Kituo cha Taarifa kwa Wananchi (TCIB), kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kubadilisha mfumo wa uendeshaji Uchaguzi Mkuu ikiwamo kuweka kipengele kitakachowalazimisha wagombea wa nafasi za uongozi kupima afya zao ili kuepuka kuchaguliwa viongozi wenye maradhi yatakayowafanya washindwe kumudu majukumu yao ya kazi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutGYkhT2J8BLrLit3nY6CeA*3qF7YymMU*O8EOe*-W4e3C963ttLnjl9bPiFLfDIp1F50iYYr8VXMaP4J1NHrsd/lum.jpeg?width=300)
Vijana wapiganie sasa haki ya kugombea urais, Vijana wasisubiri wazee wawaruhusu kugombea urais
Patrice Lumumba. Julius Nyerere. Na Walusanga Ndaki
IJUMAA moja ya alasiri na kiangazi jijini Dar es Salaam, mwandishi wa makala hii ambaye sasa ana umri wa miaka 60 alikuwa akifanya mzaha wa kupiga danadana mpira wa miguu nje ya ofisi yao kabla ya kwenda kwenye mechi ya soka kati ya timu ya ofisi yake na taasisi moja ya habari. Mwandishi huyo alifanya hivyo kwa umahiri mkubwa kwa kama dakika tano mbele ya wafanyakazi wenzake...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s72-c/UM1a.jpg)
Vijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao
![](http://3.bp.blogspot.com/-MmsfcglWscM/VCaN0ItavPI/AAAAAAAGmIM/oMIhp_CQbVw/s1600/UM1a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-arv2NlHLATk/VCaN0PaKCjI/AAAAAAAGmIU/BXUBvF92IiE/s1600/UM1b.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s72-c/photo1.jpg)
WAFANYAKAZI WA NBC WAPIMA AFYA ZAO KUADHIMISHA WIKI YA AFYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-94vsbAPz0Xs/U1309TD_WTI/AAAAAAAFdlk/hr0BxXkSE2U/s1600/photo1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b0GIhTKqvQw/U130_OAgdRI/AAAAAAAFdlw/u5dly99CgZQ/s1600/photo2.jpg)
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Viongozi wote Bavicha wapoteza sifa kugombea
>Viongozi wote wa juu wa sasa wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) hawatagombea nafasi yoyote katika baraza hilo kutokana na umri wao kuzidi miaka 30.
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
MichuziMAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania