Viongozi wote Bavicha wapoteza sifa kugombea
>Viongozi wote wa juu wa sasa wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) hawatagombea nafasi yoyote katika baraza hilo kutokana na umri wao kuzidi miaka 30.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Nov
HESLB: Wenye sifa ya kukopeshwa wamepata wote
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Msajili: Mbowe, Dk Slaa hawana sifa kugombea tena Chadema
10 years ago
Mwananchi27 Jan
‘Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza’
10 years ago
Vijimambo20 May
Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-1.jpg)
Watoto Kwaya - Uganda
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-19.jpg)
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Nov
CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
11 years ago
Habarileo04 Aug
Sumaye ataja sifa za viongozi wazuri
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amesema Watanzania wanatamani kupata viongozi wazuri na wanamwomba Mungu awasikilize na awasaidie katika hilo, huku akitaja baadhi ya sifa ambazo wangependa viongozi wao wawe nazo.
10 years ago
Habarileo28 Mar
Viongozi wanaounda Ukanda wa Kati wamwagiwa sifa
WAKUU wa Nchi za Afrika Mashariki wanaounda Ukanda wa Kati wamepongezwa kwa kujitoa na kuwezesha kutekelezwa kwa miradi ya miundombinu itakayochangia maendeleo ya uchumi na kuinua maisha ya wananchi katika nchi za ukanda huo.
10 years ago
Habarileo12 Jan
‘Jiandikisheni mwondoe viongozi wote mizigo’
WATANZANIA wametakiwa kutumia fursa na haki iliyopo mbele yao ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura na kushiriki siku ya kura ili waachane na malalamiko ya kupatikana kwa viongozi mizigo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10