HESLB: Wenye sifa ya kukopeshwa wamepata wote
Siku tatu baada ya wanafunzi waliokosa mikopo ya kujiunga na elimu ya juu kujitokeza katika ofisi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB), wakishinikiza kushughulikiwa madai yao, uongozi wa Bodi hiyo umesema kundi la wanafunzi wote waliokuwa na sifa ya kupata mikopo wameshapata. Â Â Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Viongozi wote Bavicha wapoteza sifa kugombea
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Wenye sifa wachangamkie nafasi za uongozi SimbaÂ
KLABU ya Simba ipo katika mchakato wa uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, kuhitimisha kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Alhaji Ismail Aden Rage, aliyeingia madarakani Mei 9, 2010....
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
Vijana wenye sifa za kuajiriwa wapo vijijini
ASILIMIA 80 ya vijana wenye sifa na uwezo wa kuajiriwa wapo vijijini. Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam jana na Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Dk Bilal: SUZA toeni wataalamu wenye sifa
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohamed Gharib Bilali ameutaka uongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa (SUZA), kuhakikisha chuo hicho kinatoa wataalamu wenye sifa na uwezo katika fani mbalimbali, ikiwemo za utafiti.
10 years ago
Dewji Blog14 May
Wananchi wenye sifa ya kupiga kura Mkalama washauriwa kujiandikisha
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama mkoa wa Singida,James John Mkwenga,akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika katika kijiji cha Nduguti.Kushoto ni Makamu Mwenyekiti Asma Seif na kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mkalama,Cusbert Mwinuka.
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga, akizungumza mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mkalama. Ele Lenga alitumia nafasi hiyo kuagiza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s72-c/MAMA-SALMA1.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUCHAGUA VIONGOZI WAADILIFU NA WENYE SIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gpi2OMrT07w/VIFGJSogccI/AAAAAAAG1V4/UtmTynQCC3c/s1600/MAMA-SALMA1.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wakazi wa Kata ya Ng’apa wilaya ya Lindi mjini kuchagua viongozi waadilifu na wenye sifa ambao watawaongoza wananchi kusimamia shughuli za maendeleo yao.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni ya uchaguzi wa Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa uliofanyika katika...
10 years ago
Vijimambo20 May
Sifa na Utukufu kwa Mungu - Shukrani kwa Wote! - Ibada ya Kiswahili ~ Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-1.jpg)
Watoto Kwaya - Uganda
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-19.jpg)
Watoto Kwaya wakikaribishwa rasmi na Watoto wa Ibada ya Kiswahili - Ohio ( Ian na Suzy) na Uongozi wa Ibada ya Kiswahili - Columbus, Ohio
![](http://www.iykcolumbus.org/wp-content/uploads/2015/05/Watoto2015-3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s72-c/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
TANZANIA TUNATOA DAMU BURE KWA WOTE WENYE UHITAJI -DKT.MGASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EmV-3jd_aaw/XtZisd26_rI/AAAAAAALsVw/YE53dENvp3sU0iau4bNKj9h_tyoLmsDuwCLcBGAsYHQ/s640/a883580d-89f9-4a75-9558-9e46f4dd0fa9-768x576.jpg)
Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dkt. Avelina Mgasa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c15e0ebc-398c-430b-bd64-18c13f599003.jpg)
……………………………………………………………………………………………………
MPANGO wa Taifa wa Damu Salama ulio chini ya Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto umetoa rai kwa Wananchi kutoa taarifa kwa wanaouza damu ili wachukuliwe hatua kali za kisheria kwani damu inatolewa bure kwa wahitaji.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Idara ya Ukusanyaji Damu wa Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Dk. Avelina Mgasa wakati...
11 years ago
TZToday21 Apr
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014 KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
UJUMBE WA KICHUNGAJI WA PASAKA 2014
KWA WAAMINI NA WATU WOTE WENYE MAPENZI MEMA
“Sote tuwe na Umoja” (rej. Yn 17:21)
UTANGULIZI:
Ndugu wapendwa, tunapohitimisha kipindi cha Kwaresima kilichokuwa na ujumbe: “Ukweli utawaweka huru” (Yn. 8: 32), tunawaletea ujumbe wa “Umoja” ili kuongeza msisitizo kwenye ujumbe wetu wa Kwaresma. Tunaitwa kukubali kuwa umoja ni ukweli msingi wa kila mafanikio ya jumuiya ya mwanadamu.
Ufufuko ni Pasaka inayomaanisha kivuko au kupita kwa Wayahudi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10