Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka
Hai. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amehukumiwa kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia mwangalizi wa Uchaguzi Mkuu mwaka 2010.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Msajili: Mbowe, Dk Slaa hawana sifa kugombea tena Chadema
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Utata waibuka aliyechunwa ngozi Mkuranga
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti juu ya tukio la mkazi wa Kijiji cha Dondo, wilayani Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Maimbwa (20) kufariki dunia baada ya kudaiwa kuchunwa ngozi mwili mzima na watu wasiojulikana, utata mkubwa umeibuka kuhusu tukio hilo.
Wakati ndugu na mmoja wa viongozi wa zahanati iliyomtibu Maimbwa kabla mauti hayajamkuta wakidai kuwa kijana huyo alichunwa ngozi, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Utata waibuka fedha za wanawake, vijana
FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...
9 years ago
Bongo Movies04 Sep
Utata waibuka Baada ya Wolper Kuvishwa Pete
Baada ya hivi majuzi staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ‘Jacqueline Lowassa’ kuwepa picha mtandaoni akivishwa pete na mchamba wake,siku ya jana kumeibuka habari za udaku sambamba na picha zikimuonyesha jamaa huyo aliyemchumbia Wolper akiwa kwenye kwenye vazi la harusi na mwanamke ambaye inasemekana ni mkeo.
Habari hizo ambazo hazijathibitishwa na jamaa huyo wala Wolper zinadai kuwa jamaa ni mme wa mtu wa ndoa ya mwaka 2014 nchini Congo na kwa sasa mkeo yupo nchini humo akiwa hana...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Utata waibuka ukweli sakata la mgombea wa ACT kutekwa
10 years ago
Habarileo18 Jun
Mbowe ahukumiwa mwaka mmoja
MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-KP8xSXUCGSI/VYMIuhrRTaI/AAAAAAAAv7k/UtKerej5VV4/s72-c/ner.png)
Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe AHUKUMIWA Jela Mwaka Mmoja.
![](http://2.bp.blogspot.com/-KP8xSXUCGSI/VYMIuhrRTaI/AAAAAAAAv7k/UtKerej5VV4/s640/ner.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=BRAND&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)