Utata waibuka fedha za wanawake, vijana
FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Utata waibuka aliyechunwa ngozi Mkuranga
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti juu ya tukio la mkazi wa Kijiji cha Dondo, wilayani Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Maimbwa (20) kufariki dunia baada ya kudaiwa kuchunwa ngozi mwili mzima na watu wasiojulikana, utata mkubwa umeibuka kuhusu tukio hilo.
Wakati ndugu na mmoja wa viongozi wa zahanati iliyomtibu Maimbwa kabla mauti hayajamkuta wakidai kuwa kijana huyo alichunwa ngozi, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka
9 years ago
Bongo Movies04 Sep
Utata waibuka Baada ya Wolper Kuvishwa Pete
Baada ya hivi majuzi staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ‘Jacqueline Lowassa’ kuwepa picha mtandaoni akivishwa pete na mchamba wake,siku ya jana kumeibuka habari za udaku sambamba na picha zikimuonyesha jamaa huyo aliyemchumbia Wolper akiwa kwenye kwenye vazi la harusi na mwanamke ambaye inasemekana ni mkeo.
Habari hizo ambazo hazijathibitishwa na jamaa huyo wala Wolper zinadai kuwa jamaa ni mme wa mtu wa ndoa ya mwaka 2014 nchini Congo na kwa sasa mkeo yupo nchini humo akiwa hana...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Utata waibuka ukweli sakata la mgombea wa ACT kutekwa
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Utata mpya waibuka kashfa ya ‘Miss Tanzania’ 2014
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200225_175809_703.jpg)
MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC
![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200225_175809_703.jpg)
Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo.
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Ugeugeu na upapara wa kupata fedha unakwamisha vijana
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akiingia katika ukumbi wa mkutano hoteli ya Double Tree by Hilton kwa ajili ya warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti ya Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF.
Na Mwandishi wetu
VIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na...