Utata waibuka Baada ya Wolper Kuvishwa Pete
Baada ya hivi majuzi staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ‘Jacqueline Lowassa’ kuwepa picha mtandaoni akivishwa pete na mchamba wake,siku ya jana kumeibuka habari za udaku sambamba na picha zikimuonyesha jamaa huyo aliyemchumbia Wolper akiwa kwenye kwenye vazi la harusi na mwanamke ambaye inasemekana ni mkeo.
Habari hizo ambazo hazijathibitishwa na jamaa huyo wala Wolper zinadai kuwa jamaa ni mme wa mtu wa ndoa ya mwaka 2014 nchini Congo na kwa sasa mkeo yupo nchini humo akiwa hana...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s72-c/IMG_20150903_230049.jpg)
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s640/IMG_20150903_230049.jpg)
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4Ymt6iZZRWY/VekqD2fCK6I/AAAAAAAA0f4/wX6YmALBlUE/s640/IMG_20150904_081849.jpg)
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Haya Ndiyo Maneno ya Wolper Baada ya Kuvalishwa Pete
Staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper ambaye amevishwa pete na mchumba wake, jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram alifunguka haya, mara baada ya kubandika picha hizihuku akipost picha kadhaa wakati akivalishwa pete.
”Kweli Maisha uwezi kuyapanga wala kuyajenga zaidi ya Mungu.. dah nimekaa na mwenzangu leo sku nzima nimecheka nimenuna kumbe kuna tukio mbele dah sijategemea kabisa nimekaa maskani niliyozoea kukaa kila sku na Mr wangu sasa leo nashangaa kanunua mashat...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvR4hwcZfk*ivhNc-vp1ogOPVduX9CBuOY9PNDkAsVQU-LHpzOi6j5uUU2GPXbVNnndtQyThr3LBJR3lUaZMMYQ0/Kalama.jpg)
KABLA YA KUVISHWA PETE, ISABELLA ANASWA NA MCHEPUKO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/WOLPER-11.jpg)
PETE YA UCHUMBA YAMLIZA WOLPER
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5jUGfjGXSLA/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Utata waibuka fedha za wanawake, vijana
FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...
11 years ago
Mtanzania09 Aug
Utata waibuka aliyechunwa ngozi Mkuranga
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya gazeti hili kuripoti juu ya tukio la mkazi wa Kijiji cha Dondo, wilayani Mkuranga mkoani Pwani, Hamisi Maimbwa (20) kufariki dunia baada ya kudaiwa kuchunwa ngozi mwili mzima na watu wasiojulikana, utata mkubwa umeibuka kuhusu tukio hilo.
Wakati ndugu na mmoja wa viongozi wa zahanati iliyomtibu Maimbwa kabla mauti hayajamkuta wakidai kuwa kijana huyo alichunwa ngozi, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Utata mpya waibuka mauaji ya askari Kinapa
10 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbowe ahukumiwa, utata wa sifa ya kugombea waibuka