Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro
Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Utata wagubika taarifa ya Kilango
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Utata wagubika bwawa mto Nile
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Utata wagubika wizi wa madini Mirerani
10 years ago
Tanzania Daima28 Oct
Utata waibuka fedha za wanawake, vijana
FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Fedha za walimu zayeyuka
FEDHA za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu zimeyeyuka bila Bunge kujulishwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa na Bunge la...
11 years ago
Habarileo27 Jun
Walimu 'watafuna' fedha za vitabu
WALIMU wanaoongoza shule za sekondari na msingi nchini, wametumia vibaya fedha za ruzuku za kununulia vitabu, hatua iliyolazimu Serikali kukata fungu la vitabu lililopaswa ku-pelekwa shuleni na kununua vitabu hivyo kwa niaba yao.
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu
HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...
11 years ago
Habarileo30 Jul
Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari
BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).