Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro

Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika taarifa ya Kilango

Wakati uongozi wa Bunge la Katiba ukisema ripoti ya Kamati Namba 11 iliyozua utata juzi kutokana na makosa ya uchapaji, mwenyekiti wa kamati hiyo, Anne Kilango Malecela amesema kitabu chake kizima kilikataliwa na wajumbe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata wagubika bwawa mto Nile

Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba

Mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba iliingiza Sh427 milioni na Sh49.5 milioni kati ya hizo zikiingia kwenye mfuko mpya wa Jichangie.

 

11 years ago

Mwananchi

Utata wagubika wizi wa madini Mirerani

Wingu jeusi limetanda katika sakata la watu wasiofahamika kupora kilogramu 15 za madini aina ya Tanzanite yenye zaidi ya thamani ya kiasi cha Sh10 bilioni katika mgodi wa Tanzanite One Mining Limited (TML), uliopo Mirerani baada ya gari maalumu lililokuwa limetengwa kupakia madini hayo kuharibika siku moja kabla ya tukio.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utata waibuka fedha za wanawake, vijana

FEDHA za mfuko wa wanawake na vijana katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe, Mbeya zimezua utata baada ya vikundi vilivyopatiwa mikopo wanachama wake kuwa na umri wa utu uzima huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fedha za walimu zayeyuka

FEDHA za motisha zilizotengwa kwa ajili ya ajira mpya ya walimu wanaopelekwa katika halmashauri zenye mazingira magumu zimeyeyuka bila Bunge kujulishwa licha ya kuwa fedha hizo zilipitishwa na Bunge la...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu 'watafuna' fedha za vitabu

WALIMU wanaoongoza shule za sekondari na msingi nchini, wametumia vibaya fedha za ruzuku za kununulia vitabu, hatua iliyolazimu Serikali kukata fungu la vitabu lililopaswa ku-pelekwa shuleni na kununua vitabu hivyo kwa niaba yao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi apewa siku 14 kurejesha fedha za walimu

HALIMASHAURI ya Wilaya ya Geita mkoani hapa imepewa siku 14 kurudisha fedha sh milioni 350 zilizotafunwa na Halimashauri hiyo ambazo walikatwa walimu wa Mkoa huo kwa ajili ya mikopo ambayo...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wasifu fedha za rada kununua madaftari

BAADHI ya walimu kutoka shule mbalimbali za msingi wilayani hapa wameipongeza serikali kwa kutekeleza ahadi yake ya kugawa vitabu vya masomo mbalimbali kwa shule kutokana na fedha zilizotokana na fidia ya rada (maarufu kama chenji ya rada).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani