Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wagubika taarifa ya Kilango

Wakati uongozi wa Bunge la Katiba ukisema ripoti ya Kamati Namba 11 iliyozua utata juzi kutokana na makosa ya uchapaji, mwenyekiti wa kamati hiyo, Anne Kilango Malecela amesema kitabu chake kizima kilikataliwa na wajumbe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro

Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).

 

11 years ago

Mwananchi

Utata wagubika wizi wa madini Mirerani

Wingu jeusi limetanda katika sakata la watu wasiofahamika kupora kilogramu 15 za madini aina ya Tanzanite yenye zaidi ya thamani ya kiasi cha Sh10 bilioni katika mgodi wa Tanzanite One Mining Limited (TML), uliopo Mirerani baada ya gari maalumu lililokuwa limetengwa kupakia madini hayo kuharibika siku moja kabla ya tukio.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata wagubika bwawa mto Nile

Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba

Mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba iliingiza Sh427 milioni na Sh49.5 milioni kati ya hizo zikiingia kwenye mfuko mpya wa Jichangie.

 

9 years ago

Mtanzania

Ufisadi wagubika zabuni uagizaji mafuta

Charles_MwijageNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

HOFU imetanda kwa watumiaji magari na mitambo nchini kutokana na taarifa kwamba bei ya dizeli na petroli inaweza kupanda kutokana na kuzuka utata katika zabuni  Namba PIC/2015/G-P/37 iliyopewa Kampuni ya Nishati ya Augusta bila kufuata utaratibu wa zabuni rasmi.

Zabuni hiyo ambayo ni ya kuagiza mafuta nje ya nchi ndiyo inatajwa kuwa ghali zaidi tangu Kampuni ya Uratibu wa Uagizaji wa Mafuta (PICL) ianzishwe miaka kadha iliyopita.

Kwa mujibu wa habari...

 

11 years ago

IPPmedia

Anne Kilango Malecela


IPPmedia
Anne Kilango Malecela
IPPmedia
The twelve committees of the Constituent Assembly yesterday started work on Chapter One and Six of the draft constitution behind closed doors and tight security. The two chapters of the draft covers the Union issue which has already divided the members in ...
Debates on 2nd Katiba draft 'go on smoothly'Daily News

all 3

 

10 years ago

Tanzania Daima

Anne Kilango aichapa serikali

MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango (CCM), ameilipua Serikali kuwa kutokana na kuwa legelege ndio maana nchi za nje zimeifanya Tanzania kuwa sehemu ya kuuzia  dawa za kulevya. Kilango alitoa...

 

10 years ago

Habarileo

Kilango aripoti Elimu na kuahidi makubwa

WAFANYAKAZI katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi wametakiwa kuwatumikia wananchi kwa bidii katika kuhakikisha wanakabiliana na changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini na kuwataka kutambua kuwa wizara inatumikia kundi kubwa la wananchi.

 

10 years ago

TheCitizen

One Veta centre in every district plan still on: Kilango

>Government plans to construct five vocational training centres in the country are still in the cards, the deputy minister for Education and Vocational Training, Ms Anne Kilango-Malecela, has said.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani