Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba

Mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba iliingiza Sh427 milioni na Sh49.5 milioni kati ya hizo zikiingia kwenye mfuko mpya wa Jichangie.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika taarifa ya Kilango

Wakati uongozi wa Bunge la Katiba ukisema ripoti ya Kamati Namba 11 iliyozua utata juzi kutokana na makosa ya uchapaji, mwenyekiti wa kamati hiyo, Anne Kilango Malecela amesema kitabu chake kizima kilikataliwa na wajumbe.

 

11 years ago

Mwananchi

Utata wagubika wizi wa madini Mirerani

Wingu jeusi limetanda katika sakata la watu wasiofahamika kupora kilogramu 15 za madini aina ya Tanzanite yenye zaidi ya thamani ya kiasi cha Sh10 bilioni katika mgodi wa Tanzanite One Mining Limited (TML), uliopo Mirerani baada ya gari maalumu lililokuwa limetengwa kupakia madini hayo kuharibika siku moja kabla ya tukio.

 

10 years ago

Mwananchi

Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro

Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata wagubika bwawa mto Nile

Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.

 

10 years ago

GPL

MGAWO MALI ZA JIDE, GARDNER UTATA

Stori: Mwandishi Wetu
HALI tete! Bado vuguvugu la madai ya kuvunjika kwa ndoa ya mtangazaji mahiri Bongo, Gardner Gabriel Fikirini Habash ‘Kapteni’ na Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide’, sasa lingine limeibuka ambapo mali za wawili hao zinatajwa kuzua utata, Risasi Jumamosi  linachambua. Mbongo Fleva, Judith Daines Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee au Jide. Kwa mujibu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.

Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.

Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.

Unahisi nani ataibuka kidedea...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

Mhindi aivamia Yanga, azua utata

Mtu mmoja mwenye asili ya Kihindi,akiongea jambo na kocha wa Yanga SC Mbrazili, Marcio Maximo Na Mohammed Mdose
KATIKA hali isiyo ya kawaida, juzi Jumamosi majira ya asubuhi, mtu mmoja mwenye asili ya Kihindi, aliingilia mazoezi ya Yanga yaliyokuwa yakiendelea kwenye Ufukwe wa Aga Khan jijini Dar.…

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yajificha kisiwani, uwanja bado utata mtupu

>Wakati Al Ahly wakihaha kusaka uwanja utakaotumika kwa mchezo wa Jumapili, Yanga imetua salama Cairo na kuweka kambi yake katika kisiwa cha Munib.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani