Utata wagubika bwawa mto Nile
Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Utata wagubika taarifa ya Kilango
Wakati uongozi wa Bunge la Katiba ukisema ripoti ya Kamati Namba 11 iliyozua utata juzi kutokana na makosa ya uchapaji, mwenyekiti wa kamati hiyo, Anne Kilango Malecela amesema kitabu chake kizima kilikataliwa na wajumbe.
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Utata wagubika wizi wa madini Mirerani
Wingu jeusi limetanda katika sakata la watu wasiofahamika kupora kilogramu 15 za madini aina ya Tanzanite yenye zaidi ya thamani ya kiasi cha Sh10 bilioni katika mgodi wa Tanzanite One Mining Limited (TML), uliopo Mirerani baada ya gari maalumu lililokuwa limetengwa kupakia madini hayo kuharibika siku moja kabla ya tukio.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba
Mechi ya watani wa jadi, Yanga na Simba iliingiza Sh427 milioni na Sh49.5 milioni kati ya hizo zikiingia kwenye mfuko mpya wa Jichangie.
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro
Utata umeibuka kuhusu mahali zilipo Sh986 milioni ambazo walimu wa Mkoa wa Kilimanjaro walikatwa kama marejesho ya fedha walizokopa chama cha walimu cha Akiba na Mikopo (Saccos).
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Mto Nile:Mazungumzo yatatupa suluhu
Al-Sisi alikuwa akizungumza jijini Addis Ababa, Ethiopia katika siku yake ya kwanza ya ziara rasmi nchini humo.
11 years ago
Mwananchi11 May
Mbeya City ndani ya Mto Nile
Timu ya Mbeya City imeteuliwa kushiriki mashindano ya Shirikisho la Baraza la Vyama Vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) yajulikanayo kama Kombe la Mto Nile (Cecafa Nile Basin) yatakayofanyika nchini Sudan kuanzia Mei 22 hadi Juni 4 mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi22 May
Polisi yalalamikia ratiba Mto Nile
Kocha mkuu wa Polisi Zanzibar, Ally Suleiman Mtuli amelalamikia ratiba ya michuano ya kimataifa ya kwanza ya Bonde la Mto Nile akisema ratiba hiyo haitoi muda wa kupumzika kwa wachezaji wake.
11 years ago
Mwananchi26 May
Mwambusi atamba michuano ya Mto Nile
Wakati timu ya Mbeya City ikiicharaza Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2 katika michuano ya Kombe la Mto Nile juzi, nchini Sudan, kocha wa timu hiyo, Juma Mwambusi, amesema huo ni mwanzo mzuri kwao wa kuhakikisha wanaingia fainali.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile
Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania