Polisi yalalamikia ratiba Mto Nile
Kocha mkuu wa Polisi Zanzibar, Ally Suleiman Mtuli amelalamikia ratiba ya michuano ya kimataifa ya kwanza ya Bonde la Mto Nile akisema ratiba hiyo haitoi muda wa kupumzika kwa wachezaji wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Utata wagubika bwawa mto Nile
Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Mto Nile:Mazungumzo yatatupa suluhu
Al-Sisi alikuwa akizungumza jijini Addis Ababa, Ethiopia katika siku yake ya kwanza ya ziara rasmi nchini humo.
11 years ago
Mwananchi26 May
Mwambusi atamba michuano ya Mto Nile
Wakati timu ya Mbeya City ikiicharaza Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2 katika michuano ya Kombe la Mto Nile juzi, nchini Sudan, kocha wa timu hiyo, Juma Mwambusi, amesema huo ni mwanzo mzuri kwao wa kuhakikisha wanaingia fainali.
11 years ago
Mwananchi11 May
Mbeya City ndani ya Mto Nile
Timu ya Mbeya City imeteuliwa kushiriki mashindano ya Shirikisho la Baraza la Vyama Vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) yajulikanayo kama Kombe la Mto Nile (Cecafa Nile Basin) yatakayofanyika nchini Sudan kuanzia Mei 22 hadi Juni 4 mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Mto Nile;Misri Ethiopia na Sudan zapatana
Misri, Ethiopia na Sudan zimetia saini mkataba utakaoainisha matumizi ya maji ya mto Nile.
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile
Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.
11 years ago
Habarileo27 May
‘Misri ina haki kupendelewa maji ya Mto Nile’
TANZANIA imesema nchi ya Misri ina haki ya kupata upendeleo wa maji mengi kuliko nchi nyingine tisa za Bonde la Mto Nile kwa kutaka nchi nyingine kujitafakari iwapo ni sahihi kuwa na Mkataba unaoruhusu nchi zote kutumia maji hayo kwa usawa.
11 years ago
MichuziWAZIRI MAGHEMBE ATOA MSIMAMO WA TANZANIA KUHUSU MTO NILE
Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe jana alikutana na Balozi wa Sudan Nchini, Dk. Yassir Mohammed Ali, ofisini kwake kwa ajili ya mazungumzo mafupi, hususani matumizi ya maji ya Mto Nile.
Waziri Maghembe alisema Tanzania...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Waziri Benard Membe aitetea Misri maji ya Mto Nile
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ameendelea kuweka msimamo kuwa Tanzania itaendelea kuitetea Misri kuhusu matumizi ya maji ya Mto Nile.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania