Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mto Nile:Mazungumzo yatatupa suluhu

Al-Sisi alikuwa akizungumza jijini Addis Ababa, Ethiopia katika siku yake ya kwanza ya ziara rasmi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City ndani ya Mto Nile

Timu ya Mbeya City imeteuliwa kushiriki mashindano ya Shirikisho la Baraza la Vyama Vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) yajulikanayo kama Kombe la Mto Nile (Cecafa Nile Basin) yatakayofanyika nchini Sudan kuanzia Mei 22 hadi Juni 4 mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwambusi atamba michuano ya Mto Nile

Wakati timu ya Mbeya City ikiicharaza Academie Tchite ya Burundi kwa mabao 3-2 katika michuano ya Kombe la Mto Nile juzi, nchini Sudan, kocha wa timu hiyo, Juma Mwambusi, amesema huo ni mwanzo mzuri kwao wa kuhakikisha wanaingia fainali.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi yalalamikia ratiba Mto Nile

Kocha mkuu wa Polisi Zanzibar, Ally Suleiman Mtuli amelalamikia ratiba ya michuano ya kimataifa ya kwanza ya Bonde la Mto Nile akisema ratiba hiyo haitoi muda wa kupumzika kwa wachezaji wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Utata wagubika bwawa mto Nile

Ujenzi wa bwawa kubwa na kiwanda cha Nishati katika mto Nile umeingia katika mzozo wa kidiplomasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mto Nile;Misri Ethiopia na Sudan zapatana

Misri, Ethiopia na Sudan zimetia saini mkataba utakaoainisha matumizi ya maji ya mto Nile.

 

10 years ago

Mwananchi

Ongezeko la watu latishia matumizi ya Mto Nile

Ongezeko la idadi ya wakazi waishio pembezoni mwa vyanzo vya Mto Nile limejenga hofu ya hali ya baadaye ya mto huo kutokana na kuongezeka kwa shughuli za kijamii, hasa kilimo na viwanda.

 

11 years ago

Habarileo

‘Misri ina haki kupendelewa maji ya Mto Nile’

TANZANIA imesema nchi ya Misri ina haki ya kupata upendeleo wa maji mengi kuliko nchi nyingine tisa za Bonde la Mto Nile kwa kutaka nchi nyingine kujitafakari iwapo ni sahihi kuwa na Mkataba unaoruhusu nchi zote kutumia maji hayo kwa usawa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile

IMGL8128

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la  mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL8119

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  wakati alipofungua mkutano wao kwenye  Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.

IMGL8120

IMGL8095

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Benard Membe aitetea Misri maji ya Mto Nile

>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ameendelea kuweka msimamo kuwa Tanzania itaendelea kuitetea Misri kuhusu matumizi ya maji ya Mto Nile.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani