Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
10 years ago
MichuziMkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya
11 years ago
Dewji Blog30 May
Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)
kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).
![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s1600/02.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Profesa Mwandosya ahitimisha ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay - White Nile
![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQSDY8HPQXQ/VFUcql33I2I/AAAAAAAGut8/-Kfu1f0lYUg/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
Habarileo04 Jun
Mkutano Bonde Nile kuanza leo Dodoma
MAWAZIRI wanaohusika na masuala ya Maji katika nchi za Bonde la Mto Nile (NBI), wanaanza kikao chao leo mjini Dodoma kwa ajili ya Mkutano wa 23 wa mwaka wa Baraza la Mawaziri wa nchi hizo.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-BHoGpTigQJo/VAB_z9fONDI/AAAAAAAGT0c/1ThdQg81Pe4/s1600/unnamed%2B(64).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--x9B1wA6kY0/VAB_1o_HddI/AAAAAAAGT0w/sa97IT-f8KE/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS, AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA AJIRA NCHI ZA SADC, PROGRAMU YA MAFUNZO KWA VITENDO YAZINDULIWA
Akizungumza wakati wa ufunguzi huo Samia amesema kuwa mafunzo hayo...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR