Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Mwandosya ahitimisha ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay - White Nile

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya leo amemaliza ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay (White Nile),kutembelea chanzo cha Mto Abay,na kutembelea maporomoko maarufu ya Mto Abay (White Nile). Waziri Mwandosya,kushoto,akiwa na Mhaidrolijia Mengistu,Mkurugenzi Mkuu wa Bone la Mto Abay baada ya kukagua kazi zinazoendelea za ujenzi wa Makao Makuu ya Bonde mjini Bahar Dar, Amhara.Waziri Mwandosya kwenye mti uliopandwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

PROFESA MWANDOSYA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI NCHINI SUDAN

Kabla ya kuhitimisha ziara yake nchini Sudan,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa MArk Mwandosya alipata nafasi ya kuwa na mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Sudan,Mheshimiwa Ali Osman Mohammed Taha;kutembelea nyumba ya makumbusho ya Sudan;na kutembelea jengo la kumbukumbu la shujaa wa Sudan,al Mahdi. Waziri Mwandosya,kushoto,akimkabidhi Mheshimiwa Ali Osman Mohammed Taha,Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu,zawadi ya kinyago kutoka Tanzania.
Walio mstari...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR

????????????????????????????????????Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla (kulia), akisalimiana na Afisa Ugavi Mkuu wa Bohari Kuu ya Maji, Datus Bahati mara baada ya kuwasili Bohari Kuu ya Maji wakati wa ziara yake ya siku tatu ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maji katika mkoa wa Dar es Salaam inayosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA) ambapo aliitimisha ziara hiyo Agosti 27, 2015 kwakukagua miradi iliyopo daraja la mpiji na Kerege na maungio ya maji ya wazo.IMG_2809Naibu Waziri wa Maji, Amos...

 

10 years ago

Michuzi

Profesa Mwandosya atembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia

Akiwa ziarani Ethiopia Waziri  wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya Mwandosya ametembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia (Great Ethiopian Renaissance Dam-GERD).Ujenzi utakapokamilika mwaka 2017 GERD litazalisha MW 6000 za umeme na kuwa mradi mkubwa wa aina yake Afrika na wa nane kwa ukubwa duniani. Mradi unahusu ujenzi wa bwawa kwenye Mto Blue Nile, kilomita 850 kutoka Addis Ababa.Waziri  wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya Mwandosya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile

IMGL8128

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la  mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL8119

Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  wakati alipofungua mkutano wao kwenye  Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.

IMGL8120

IMGL8095

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara ya Waziri Mwandosya nchini Ethiopia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya amekuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Mheshimiwa Alemayehu Tegenu kuhusu maendeleo ya maji na umeme katika nchi zao Waziri Tegenu (kulia) akiwa na Waziri Mwandosya.Mawaziri wakisikiliza maafisa wa Ethiopia wakiwasilisha mada mbalimbali.Picha ya pamoja baada ya kikao. Wa  tatu kulia ni Ndugu Suma Mwakyusa Afisa Mwandamizi Ubalozi wa Tanzania Addis Ababa, wa nne kulia ni Mheshimiwa Naima Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia,...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia

Na Eleuteri Mangi- MAELEZO  Serikali imesema utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka Mtwara hadi Dar es salaam unaenda vizuri kulingana na ratiba yake na utakamilika kwa wakati.  Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipotembelea kituo cha kufua umeme kwa kutumia gesi asilia kinachojengwa Kinyerezi wakati akihitimisha ziara yake ya siku mbili ya kukagua mradi wa ujenzi wa bomba la gesi jijini Dar es salaam.  Balozi Sefue alisema...

 

11 years ago

Michuzi

ziara ya Profesa Mwandosya nchini Burundi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum)  Profesa Mark Mwandosya,wa pili kulia, amekuwa na mazungumzo na Waziri wa Mawasiliano ya Simu,Habari,na Uhusiano na Bunge,wa Burundi,Mhe.Tharcisse Nkezabahizi,watatu kulia, na Francois Sigejeje,Katibu Mkuu wa Wizara yake,wa nne kulia.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Prof. Mark k Mwandosya ,wa tano kushoto ametembelea Mamlaka ya Maji na Umeme ya Burundi(REGIDESO) mjini Bujumbura.Pamoja naye ni Liberat Mfumukiko,wa sita kushoto.Wengine...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe...

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya ambaye alikuwa ni msemaji mkuu katika Mkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile (4th Nile Basin Development Forum) unaofanyika jijini Nairibi,Kenya akiwasilisha mada katika mkutano huo.Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Profesa Mark Mwandosya (kushoto) akifatilia mada mbali mbali zilizokuwa zikitolewa kwenye mkutano nhuo.Mawaziri wa Maji wa Bonde la Mto Nile waliohudhuria Mkutano wa Nne Jopo la Maendeleo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani