Profesa Mwandosya ahitimisha ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay - White Nile
![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya leo amemaliza ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay (White Nile),kutembelea chanzo cha Mto Abay,na kutembelea maporomoko maarufu ya Mto Abay (White Nile). Waziri Mwandosya,kushoto,akiwa na Mhaidrolijia Mengistu,Mkurugenzi Mkuu wa Bone la Mto Abay baada ya kukagua kazi zinazoendelea za ujenzi wa Makao Makuu ya Bonde mjini Bahar Dar, Amhara.
Waziri Mwandosya kwenye mti uliopandwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
PROFESA MWANDOSYA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI NCHINI SUDAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Uhz4nxGXQlE/VL1C4M1ahlI/AAAAAAAG-WI/d_46uhrMjSU/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Walio mstari...
9 years ago
Michuzi28 Aug
MAKALLA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU TATU YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI JIJINI DAR
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC_0070.jpg)
![IMG_2809](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/IMG_2809.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Profesa Mwandosya atembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7nuLb_0bgUA/VFHZZPvlaHI/AAAAAAAGuII/slGWpSY3IzU/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
Ziara ya Waziri Mwandosya nchini Ethiopia
![](http://3.bp.blogspot.com/-7nuLb_0bgUA/VFHZZPvlaHI/AAAAAAAGuII/slGWpSY3IzU/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-98U6rscPL8I/VFHZZoJONKI/AAAAAAAGuIM/xSqR_9B8gvA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b_I9nbu0iCw/VFHZbDg8BXI/AAAAAAAGuIY/DcgXmQ-jL2w/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7XwKbp4ikE/UzM771rcUPI/AAAAAAAFWto/h-Fhr48uwFY/s72-c/unnamed+(20).jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi ahitimisha Ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua mradi wa bomba la gesi aasilia
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hoeq3nAD7hw/U4DSsTli39I/AAAAAAAFkyQ/UbhBQzJ_xGc/s72-c/unnamed1.jpg)
ziara ya Profesa Mwandosya nchini Burundi
![](http://4.bp.blogspot.com/-hoeq3nAD7hw/U4DSsTli39I/AAAAAAAFkyQ/UbhBQzJ_xGc/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-wcmyhB-gICw/U4DVzap5UeI/AAAAAAAFkyo/LZwpDhjiDUQ/s1600/20140521_182957.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Prof. Mark k Mwandosya ,wa tano kushoto ametembelea Mamlaka ya Maji na Umeme ya Burundi(REGIDESO) mjini Bujumbura.Pamoja naye ni Liberat Mfumukiko,wa sita kushoto.Wengine...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
10 years ago
MichuziMkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya