Mkutano Bonde Nile kuanza leo Dodoma
MAWAZIRI wanaohusika na masuala ya Maji katika nchi za Bonde la Mto Nile (NBI), wanaanza kikao chao leo mjini Dodoma kwa ajili ya Mkutano wa 23 wa mwaka wa Baraza la Mawaziri wa nchi hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA MAWAZIRI WA NCHI ZA BONDE LA MTO NILE, MJINI DODOMA LEO
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015.
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Pinda afungua mkutano wa mawaziri wa nchi za Bonde la Mto Nile
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa nchi za bonde la mto Nile kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma Juni 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa siku mbili wa Mawaziri wa Nchi za Bonde la Mto Nile wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye Kituo Cha Mikutano cha Saint Gaspar mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Maji,...
10 years ago
MichuziMkutano wa nne wa Jopo la Maendeleo ya Bonde la Mto Nile waanza mjini Nairobi,Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GIO1RESyiCo/XoIKb5SikfI/AAAAAAALlnI/D_dqSRgcquAZqce1HEwh_4IsfgtbD2V7gCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
MKUTANO WA BAJETI KUANZA KESHO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIO1RESyiCo/XoIKb5SikfI/AAAAAAALlnI/D_dqSRgcquAZqce1HEwh_4IsfgtbD2V7gCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JuoPg7bXi3M/XoIKbROz8OI/AAAAAAALlnE/3UjY36EoJmwWahdWpfRgwpVWDMR3TL5OgCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ew4dhPgJGF8/XoIKdzpGECI/AAAAAAALlnM/kuMU9__lA1cEyrvmuvu6LMxCcrL74KJtQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-OOC4qeAoOss/XoIKe0zoSMI/AAAAAAALlnU/mEa7TbEudyMqt8PO0C5flJhu5xRugB9_ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s72-c/download.jpg)
MKUTANO WA ISHIRINI WA BUNGE LA KUMI KUANZA DODOMA TAHERE 12 MEI 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s1600/download.jpg)
1.0 UTANGULIZIMkutano wa Ishirini (20) wa Bunge la Kumi (10) unatarajia kuanza mjini Dodoma tarehe 12 Mei 2015. Mkutano huo ambao ni mahususi kwa ajili ya kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali ndiyo utakaokuwa mkutano wa mwisho wa Bunge hili kabla ya kuvunjwa na baadaye kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2015.
Hivyo, Wabunge wote wanapaswa kuwa wamewasili mjini Dodoma ifikapo Jumapili tarehe 10 Mei 2015 tayari kuhudhuria kikao cha...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Profesa Mwandosya ahitimisha ziara yake ya siku sita nchini Ethiopia kwa kukagua ujenzi wa Ofisi za Bonde la Mto Abay - White Nile
![](http://4.bp.blogspot.com/-gc198qit1Ks/VFUcpZVwy4I/AAAAAAAGutw/gbJf7mu6O3I/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CQSDY8HPQXQ/VFUcql33I2I/AAAAAAAGut8/-Kfu1f0lYUg/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
10 years ago
Michuzi03 Nov
10 years ago
Mtanzania12 May
Mtihani wa Pinda kuanza leo Dodoma
Na Debora Sanja, Dodoma
VIKAO vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2015/16 vinaanza leo Dodoma huku Ofisi ya Waziri Mkuu ikiwa ya kwanza kuwasilisha bajeti yake.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Bunge, mkutano huo wa 20 Bunge unatarajiwa kuanza leo hadi Juni 27 mwaka huu ambako Bunge hilo litavunjwa na nchi kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani.
Waziri Mkuu Pinda atawasilisha bajeti ya ofisi yake ambayo inahusisha wizara tatu ambazo ni Ofisi ya Bunge, Sera, Uratibu...