MKUTANO WA BAJETI KUANZA KESHO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GIO1RESyiCo/XoIKb5SikfI/AAAAAAALlnI/D_dqSRgcquAZqce1HEwh_4IsfgtbD2V7gCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb), akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu mabadiliko ambayo yatafanyika katika Utaratibu wa Uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa Mkutano wa Bunge wa Bajeti unaotarajiwa kuanza kesho Jijini Dodoma. Spika ametangaza mabadiliko kadhaa ambayo yatafanyika wakati wa uendeshaji wa shughuli za Bunge ili kukabiliana na janga la Ugojwa wa Korona. Wakwanza kulia ni Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.
Spika wa Bunge Job Ndugai (katikati) akizungumza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Samia kuanza kampeni Dodoma kesho
MGOMBEA Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, anaanza ziara za mikutano ya kampeni mkoani hapa kesho ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.
10 years ago
Habarileo04 Jun
Mkutano Bonde Nile kuanza leo Dodoma
MAWAZIRI wanaohusika na masuala ya Maji katika nchi za Bonde la Mto Nile (NBI), wanaanza kikao chao leo mjini Dodoma kwa ajili ya Mkutano wa 23 wa mwaka wa Baraza la Mawaziri wa nchi hizo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s72-c/unnamed+(28).jpg)
WATENDAJI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAFANYA KIKAO CHA MAANDALIZI YA KUWASILISHA BAJETI BUNGENI DODOMA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-s2wYMjUqdrs/U3OWQLixKmI/AAAAAAAFhtk/sPE94eoyErs/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Oi_gjZjnfZQ/U3OWQDEJ8fI/AAAAAAAFhto/GZw-MzLz134/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kamati ya Bunge ya Bajeti kuanza vikao vyake Oktoba 13 hadi Novemba 2 mwaka huu jijini Dar
Kamati Oct 2014.doc by moblog
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s72-c/download.jpg)
MKUTANO WA ISHIRINI WA BUNGE LA KUMI KUANZA DODOMA TAHERE 12 MEI 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-G5HENcLrqtE/VU6kZjeHo9I/AAAAAAAHWeA/_6dB1FnxX6s/s1600/download.jpg)
1.0 UTANGULIZIMkutano wa Ishirini (20) wa Bunge la Kumi (10) unatarajia kuanza mjini Dodoma tarehe 12 Mei 2015. Mkutano huo ambao ni mahususi kwa ajili ya kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali ndiyo utakaokuwa mkutano wa mwisho wa Bunge hili kabla ya kuvunjwa na baadaye kufanyika Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2015.
Hivyo, Wabunge wote wanapaswa kuwa wamewasili mjini Dodoma ifikapo Jumapili tarehe 10 Mei 2015 tayari kuhudhuria kikao cha...
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Vikao vya kamati za kudumu za Bunge kuanza kesho jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri kuwa Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba 2014. Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014...