MKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Na Dotto MwaibaleMKUTANO wa Nne wa Bara la Afrika wa kujadili mipango endelevu katika eno la mafunzo kwa vijana na wataalamu wasiojiweza na ushirikji wao katika soko la ajira, unatarajiwa kuanza kufanyika kesho Hoteli ya Girrafe jijini Dar es Salaam.
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KWA VIJANA WAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9sn7BSdig7w/VcsS-J02ypI/AAAAAAAD3FE/SjYa2dVpICI/s72-c/diaspora%2Btentative%2Bprogramme%2B-%2BFinal%2B1-1%2B%25281%2529.jpg)
KONGAMANO LA DIASPORA KUFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM KUANZA ALHAMISI AGOSTI 14, 2015 HOTELI YA SERENA
1. Kujiandaa kikamilifu kwa kupitia "brief concept Note" ya Kongamano hilo ambayo nimeambatanisha;
2. kupitia ratiba ya masuala yatakayojiri katika kongamano hilo ambayo pia nimeambatanisha; na
3. kuhakikisha kuwa mmejiandikisha kushiriki kongamano hilo kupitia...
10 years ago
MichuziCHADEMA YAANDAA KONGAMANO LA WAZEE, KUFANYIKA KESHO HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s72-c/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
Mkutano wa 12 wa Wakuu wa Utumishi wa Umma wa Nchi za Afrika wanachama wa Jumuiya ya Madola kufanyika jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-yfZExtANHgE/VaAl6qmdrUI/AAAAAAAHoiw/8sqVkWfR-cA/s640/unnamed%2B%25286%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA MASHAURIANO KUHUSU AMANI, UMOJA NA UTULIVU WA NCHI YETU KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA MIKUTANO WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s72-c/IMG-20150217-WA0004.jpg)
Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-qeZBLtHd_Dk/VOQNwNQfL6I/AAAAAAAHEO4/QWEqsxA7J1g/s1600/IMG-20150217-WA0004.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
CHADEMA yaandaa kongamano la wazee, kufanyika kesho Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Jijini Dar
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Hashim Juma Issa (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu kongamano litakalo wakutanisha wazee wote bila kujali itikadi za vyama vyao litakalo jadili mustakabali wa taifa kuelekea uchaguzi mkuu litakalofanyika kesho ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...