WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
UNESCO inakusudia kushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kusherehekea Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei 2015. Iwapo jambo hili litafana mwaka huu lirudiwe tena mwaka kesho na hatimaye liwe ni la kila mwaka.
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMKUTANO WA NNE WA BARA LA AFRIKA KUJADILI MIPANGO ENDELEVU NA MAFUNZO KUANZA KUFANYIKA KESHO HOTELI YA GIRRAFE JIJINI DAR ES SALAAM
Mkutano huo ambao utashirikisha nchi mbalimbali tisa unatarajiwa kuhudhuriwa na wageni 50 kutoka katika nchi hizo za Afrika.
Akizungumza na waaandishi wa habari kuhusu Dar es Salaam jana kuhusu mkutano huo, Meneja Mipango wa Ofisi ya Maendeleo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6qqpvYH1OuA/VXk49kOWgnI/AAAAAAAHeoI/7dUREW6R7uo/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARA LA AFRIKA,WANAWAKE WAELEZA NAMNA WALIVYOSHIRIKI KATIKA UKUMBOZI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s72-c/New+Picture+(1).png)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MAKUMBUSHO DUNIANI YAENDELEA KUFANA KATIKA MAKUMBUSHO NA NYUMBA YA UDAMADUNI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-uOOdnMZy2mw/U3huQAqR--I/AAAAAAAFjaY/xWrBjv5TY3Y/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Uq-_izXcjzU/U3hurfw68BI/AAAAAAAFjag/S4HD_w1XQTo/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aSxAmkIS9GM/U3hutR0sQ6I/AAAAAAAFjao/dqtuEsIHhwg/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
VijimamboUZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s72-c/unnamed.jpg)
MEMBE MGENI RASMI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARANI AFRIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s640/unnamed.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni...
10 years ago
GPLMAADHIMISHO UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA YAANZA DAR!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--ojR6ajTTOo/VWLpkSPcT-I/AAAAAAAHZlo/EOiCTyH5ypM/s72-c/images.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA NA UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA NA KUZINDUA MRADI WA NYARAKA ZA URITHI WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/--ojR6ajTTOo/VWLpkSPcT-I/AAAAAAAHZlo/EOiCTyH5ypM/s640/images.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Oct
Vikao vya kamati za kudumu za Bunge kuanza kesho jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Thomasi Kashililah anawatangazia Waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Jamhuri kuwa Vikao vya Kamati za Kudumu za Bunge vitaanza Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Oktoba 2014. Kwa tangazo hili waheshimiwa Wabunge wote mnaombwa kuwasili Dar es Salaam siku ya Jumapili tarehe 19 Oktoba 2014.
Kamati za Bunge katika vikao hivi vitakavyodumu hadi tarehe 2 Novemba 2014...