Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YA TANZANIA NA UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA NA KUZINDUA MRADI WA NYARAKA ZA URITHI WA TANZANIA

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linalo shughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) itaadhimisha Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei, 2015 kwa kufanya maonesho ya picha na kumbukumbu mbalimbali zinazoonesha na kuelezea harakati za ukombozi wa bara la Afrika pamoja na midahalo mbalimbali itakayowahusisha wasomi na baadhi wa watu mashuhuri walioshiriki katika harakati za ukombozi. Maadhimisho hayo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Wiki ya Ukombozi wa Afrika na Uzinduzi Mradi Uhifadhi Urithi Nyaraka Tanzania

Profesa Issa Shivji akichokoza mada katika mjadala wa Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Profesa Issa Shivji akichokoza mada katika mjadala wa Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima akisoma hotuba ya uzinduzi akimuwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe kwenye Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima akisoma hotuba ya uzinduzi akimuwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe kwenye Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Ofisa Mkuu na Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania, Mzulmira Rodrigues akizungumza katika Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Afrika inayofanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam. Ofisa Mkuu na Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania, Mzulmira Rodrigues...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA, UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI AFRIKA

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Andrew Mwambene, akizungumza jambo.  Katikati ni  Philipe Roisse kutoka UNESCO, na mchunguzi wa masuala ya utamaduni Dr. Dinah Richard Mbaga. Wanahabari wakiwa kazini katika tukio hilo. Meza kuu…

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AZUNGUMZA NA KAMATI YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Kamati ya Uongozi wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika jijini Dar es Salaam leo. Mshauri kutoka UNESCO Dr. Daniel Ndagala akiwaelezea wajumbe juu ya Umuhimu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika jijini Dar es Salaam Leo. (Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM)

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARA LA AFRIKA,WANAWAKE WAELEZA NAMNA WALIVYOSHIRIKI KATIKA UKUMBOZI

 Mwenyekiti wa Bodi ya AICC na Mgeni Rasmi wa Maadhimisho ya wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika, Balozi Christopher Liundi akikata utepe katika maadhimisho hayo ikiwa leo ni siku ya Kuona Mchango wa Wanawake katika Ukombozi wa Bara la Afrika, maadhimisho hayo yamefanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.Profesa Ruth Meene akizungumza na baadhi ya wanafunzi na watu wengine waliohudhuria (hawapo pichani) ili kujua mchango wa wanawake katika ukombozi wa Bara la Afrika,...

 

10 years ago

Michuzi

WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM

UNESCO inakusudia kushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kusherehekea Wiki ya Ukombozi wa Bara la Afrika kuanzia tarehe 25 hadi 29 Mei 2015. Iwapo jambo hili litafana mwaka huu lirudiwe tena mwaka kesho na hatimaye liwe ni la kila mwaka.
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YACHAGULIWA NA UNESCO KUWA MJUMBE WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) leo tarehe 23/11/2015 katika Ofisi za Wizara hiyo ambapo amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechaguliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya Urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne. Uchaguzi huo umefuatia uamuzi wa Mkutano Mkuu wa 20 wa nchi Wanachama wa Mkataba wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) unaohusu Urithi wa Dunia uliofanyika mjini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania yaula UNESCO yachaguliwa kuwa mjumbe wa kamati ya Urithi Dunia!

IMG_1417

Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii na Maliasili, Dk. Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani juu ya Tanzania kupata nafasia hiyo kutoka UNESCO kuwa mjumbe wa urithi wa Dunia kwa kipindi cha miaka minne.

Nafasi hiyo ni baada ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni jijini Paris, Ufaransa Makao makuu ya UNESCO.

IMG_1413

Mkurugenzi Msaidizi Mafunzo  na takwimu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi Eliwasa Maro akitoa ufafanuzi wa nafasi hiyo kwa waandishi wa habari  (hawapo...

 

5 years ago

Michuzi

FAHAMU KUHUSU PROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARAZA LA AFRIKA NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA


Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Ndaki ya Sayansi na Elimu Kampasi ya Solomon Mahlangu Prof. Allen Malisa (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa kuhusu makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini yaliyopo Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazibu mkoani Morogoro.

………………………………………………
Na Anitha Jonas – WHUSM

Dar es Salaam.
Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia...

 

10 years ago

GPL

MAADHIMISHO UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA YAANZA DAR!

Ukumbi ulioandaliwa kwa ajili ya serehe hizo. Katikati ni, Philipe Roisse kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa (UNESCO) akisalimiana na viongozi wengine. Meza kuu iliyoandaliwa.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani