KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AZUNGUMZA NA KAMATI YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Www0nGjb_TE/UwyU5008XUI/AAAAAAAFPdU/GYtz16gzR_U/s72-c/unnamed+(30).jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na Kamati ya Uongozi wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika jijini Dar es Salaam leo.
Mshauri kutoka UNESCO Dr. Daniel Ndagala akiwaelezea wajumbe juu ya Umuhimu wa Programu ya Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika jijini Dar es Salaam Leo. (Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--ojR6ajTTOo/VWLpkSPcT-I/AAAAAAAHZlo/EOiCTyH5ypM/s72-c/images.jpg)
SERIKALI YA TANZANIA NA UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA NA KUZINDUA MRADI WA NYARAKA ZA URITHI WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/--ojR6ajTTOo/VWLpkSPcT-I/AAAAAAAHZlo/EOiCTyH5ypM/s640/images.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Feb
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo apokea zawadi toka Kamati ya vibali vya filamu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AJIONEA HITILAFU YA MTAMBO WA MAJI MOTO HOTELI YA NEW AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
Vijimambo26 May
Wiki ya Ukombozi wa Afrika na Uzinduzi Mradi Uhifadhi Urithi Nyaraka Tanzania
![Profesa Issa Shivji akichokoza mada katika mjadala wa Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0059.jpg)
![Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima akisoma hotuba ya uzinduzi akimuwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe kwenye Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0237.jpg)
![Ofisa Mkuu na Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania, Mzulmira Rodrigues akizungumza katika Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Afrika inayofanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0198.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TAZa2cruaqA/XmuQCb8-0OI/AAAAAAALi8k/F1Ij0GPdqmEyJFbwBwLbgbsJ360eNh1EgCLcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
FAHAMU KUHUSU PROGRAMU YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARAZA LA AFRIKA NA FAIDA ZAKE KWA TAIFA
![](https://1.bp.blogspot.com/-TAZa2cruaqA/XmuQCb8-0OI/AAAAAAALi8k/F1Ij0GPdqmEyJFbwBwLbgbsJ360eNh1EgCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Juliana Shonza (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Ndaki ya Sayansi na Elimu Kampasi ya Solomon Mahlangu Prof. Allen Malisa (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kwa kuhusu makaburi ya wapigania uhuru wa Afrika Kusini yaliyopo Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazibu mkoani Morogoro.
………………………………………………
Na Anitha Jonas – WHUSM
Dar es Salaam.
Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-00.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Habari akutana na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-kyKEqJeU0dQ/XkbUXVt5obI/AAAAAAALdck/akUZbzxZrrMf_SOfP-sG56-HrAX3LYqsgCLcBGAsYHQ/s640/Pix-00.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/Pix-02.jpg)
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
9 years ago
VijimamboKaimu Katibu Mkuu azungumza na waandishi wa Habari kuhusu Wiki ya Umoja wa Mataifa
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI, DKT. SHAABAN MWINJAKA AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA (TAA)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania