NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AJIONEA HITILAFU YA MTAMBO WA MAJI MOTO HOTELI YA NEW AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Prof. Elisante Ole Gabriel (mwenye koti) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Usalama wa Hotel ya New Afrika Hotel ya Jijini Dar es Salaam, Bw. Isack Kabugu kuhusu hitilafu ya kiufundi iliyotokea katika mtungi wa kuhifadhi moto katika Hoteli hiyo ambayo ilileta athari katika majengo ya ofisi zilizopo jirani na hoteli hiyo ikiwemo ofisi ya Idara ya Habari na Ofisi ya Bodi ya Filamu Tanzania zilizopo chini ya Wizara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AJIONEA UHARIBIFU MKUBWA WA MABOMBA JANGWANI
Mabomba hayo ya inchi 16 yenye urefu wa mita 12 yamezolewa na maji kutokana na athari iliyoletwa na mvua kubwa ya mwishoni mwa wiki inayoendelea jijini Dar es Salaam.
“Ni athari kubwa ambayo imesababishwa na mvua hii na mpaka kukata mabomba ya maji, ni muda mrefu tangu mvua ya aina huu kutokea Dar es Salaam”, alisema ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s72-c/unnamed+(85).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AKUTANA NA WADAU WA PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7gzKU_wur_E/UvooO3q4kJI/AAAAAAAFMWI/KpIYaqqmjo0/s1600/unnamed+(86).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s72-c/IMG_3294.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI KATIKA KONGAMANO LA KIGODA CHA MWALIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s1600/IMG_3294.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Feb
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo apokea zawadi toka Kamati ya vibali vya filamu.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Www0nGjb_TE/UwyU5008XUI/AAAAAAAFPdU/GYtz16gzR_U/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AZUNGUMZA NA KAMATI YA URITHI WA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Www0nGjb_TE/UwyU5008XUI/AAAAAAAFPdU/GYtz16gzR_U/s1600/unnamed+(30).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHuCA6NyH_A/UwyU55CYEpI/AAAAAAAFPdQ/3Fopj86Tf08/s1600/unnamed+(31).jpg)
9 years ago
MichuziWIZARA YA MAJI YAMUAGA NAIBU KATIBU MKUU INJ. MWIHAVA, YAMKARIBISHA INJ. KALOBELO
Wizara ya Maji imemuaga rasmi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Inj. Ngossy Mwihava na kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu mpya, Inj. Emmanuel Kalobelo katika Makao Makuu ya Wizara hiyo Ubungo Maji jana.
“Naomba ushirikiano wenu ili tuweze kufanikisha azma ya...