WIZARA YA MAJI YAMUAGA NAIBU KATIBU MKUU INJ. MWIHAVA, YAMKARIBISHA INJ. KALOBELO
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Inj. Emmanuel Kalobelo akipokea nyaraka kama ishara ya kukabidhiwa rasmi ofisi kutoka kwa aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Inj. Ngossy Mwihava, wakishuhudiwa na Katibu Mkuu, Inj. Mbogo Futakamba.
Wizara ya Maji imemuaga rasmi aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Inj. Ngossy Mwihava na kumkaribisha Naibu Katibu Mkuu mpya, Inj. Emmanuel Kalobelo katika Makao Makuu ya Wizara hiyo Ubungo Maji jana.
“Naomba ushirikiano wenu ili tuweze kufanikisha azma ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AJIONEA HITILAFU YA MTAMBO WA MAJI MOTO HOTELI YA NEW AFRIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-XcPbqmAoXnM/VT1aQETQ2xI/AAAAAAAHTbo/N5osaQWzl8A/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI MBAGALA KUU,JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s72-c/unnamed+(85).jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA HABARI AKUTANA NA WADAU WA PSPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-F1x62iZqBJA/UvooOQm4KdI/AAAAAAAFMWE/MpQGbbJcizo/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7gzKU_wur_E/UvooO3q4kJI/AAAAAAAFMWI/KpIYaqqmjo0/s1600/unnamed+(86).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1LUaPwurOW4/XtJlWN7k4iI/AAAAAAALsFw/50wiX4B_JzUNvTvuRW7EYI22IYsY-caAQCLcBGAsYHQ/s72-c/129ccf4e-b8fd-4074-a7c4-77a9f87ad7e8.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU AKAGUA MAANDALIZI YA MAPOKEZI YA WANAFUNZI MZUMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-1LUaPwurOW4/XtJlWN7k4iI/AAAAAAALsFw/50wiX4B_JzUNvTvuRW7EYI22IYsY-caAQCLcBGAsYHQ/s640/129ccf4e-b8fd-4074-a7c4-77a9f87ad7e8.jpg)
Hapa akikagua moja ya vifaa vilivyofungwa kuwezesha wanafunzi kunawa na sabuni na maji tiririka kabla ya kuingia darasani. Eneo hili ni kwenye ukumbi wa mihadhara (lecture theatre) Fanon.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a5fe0e4c-8f76-4290-a622-37bc6a88ec4e.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo akifanya mjumuisho katika wa ziara ya ukaguzi iliyofanywa na Naibu Katibu Mkuu. Wanaoonekana pichani ni baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya Chuo Kikuu Mzumbe na watendaji katika Kituo cha Afya.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/a121554d-9ac0-4f4a-bee2-1e4b8f915f03.jpg)
Naibu Katibu Mkuu Dr. Evamarie Semakafu, akitoa maelekezo ya maboresho baada ya kupokea taarifa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s72-c/IMG_3294.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI KATIKA KONGAMANO LA KIGODA CHA MWALIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqK70POAZwc/U0ZxAcGc6hI/AAAAAAAFZsc/0fhAFOIc9qc/s1600/IMG_3294.jpg)
11 years ago
GPLNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akifunga mafunzo ya siku tatu kwa washiriki juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru katika Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar. Mwakilishi wa TradeMark Afrika Mashariki kupitia Tanzania Asaac Mtwale akiwashukuru washiriki wa mafunzo juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru bara maada ya kufungwa kwa mafunzo hayo katika Hoteli ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OSFVw7jahMw/VM-q2dorrdI/AAAAAAAHBHA/nPS4d3f_fPw/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSFVw7jahMw/VM-q2dorrdI/AAAAAAAHBHA/nPS4d3f_fPw/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua (pichani) kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, anayesimamia Menejimenti ya Fedha za Umma (Public Finance Management).
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Mwinyimvua alikuwa Msaidizi wa Rais wa muda mrefu wa masuala ya uchumi.Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue leo, Jumatatu, Februari 2, 2015, imesema kuwa uteuzi wa Dkt. Mwinyimvua ulianza...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AJIONEA UHARIBIFU MKUBWA WA MABOMBA JANGWANI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Inj. Bashir Mrindoko leo ametembelea eneo la Jangwani, Darajani, barabara ya Morogoro kujionea uharibifu mkubwa wa mabomba ya maji.
Mabomba hayo ya inchi 16 yenye urefu wa mita 12 yamezolewa na maji kutokana na athari iliyoletwa na mvua kubwa ya mwishoni mwa wiki inayoendelea jijini Dar es Salaam.
“Ni athari kubwa ambayo imesababishwa na mvua hii na mpaka kukata mabomba ya maji, ni muda mrefu tangu mvua ya aina huu kutokea Dar es Salaam”, alisema ...
Mabomba hayo ya inchi 16 yenye urefu wa mita 12 yamezolewa na maji kutokana na athari iliyoletwa na mvua kubwa ya mwishoni mwa wiki inayoendelea jijini Dar es Salaam.
“Ni athari kubwa ambayo imesababishwa na mvua hii na mpaka kukata mabomba ya maji, ni muda mrefu tangu mvua ya aina huu kutokea Dar es Salaam”, alisema ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania