amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSFVw7jahMw/VM-q2dorrdI/AAAAAAAHBHA/nPS4d3f_fPw/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua (pichani) kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, anayesimamia Menejimenti ya Fedha za Umma (Public Finance Management).
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi13 Feb
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Rais Kikwete awaapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha na Balozi wa Tanzania nchini Kenya
Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya kumwapisha iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amewaapisha Dkt. Hamisi Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha na Balozi wa Tanzania nchini Kenya John Haule katika hafla iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Akizungumzia nafasi yake ya sasa,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Rais kikwete awaapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t2VdG98Hufo/VNyBIP7OwkI/AAAAAAAHDS4/pPpYbzj9sA8/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahani msiba wa Mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Dkt. Servacius Likwelil, wakati alipofika kumfariji Katibu huyo nyumbani kwake Boko Jijini Dar es Salaam, jana jioni. Mazishi yanatarajia kufanyika leo jioni kwenye Makaburi ya Kinondoni. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji katika...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-D7wvPid59dQ/XmJS_dIqstI/AAAAAAALhg8/a1lG1EUAego4BiCvWxQcczCe9ixqjkqTQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j15bKWnZaqA/XmJSvLxdfOI/AAAAAAALhgw/iKGzR1yC-cEp--m8caimU7im4l3xXQCTACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_IMWrPSSN60/XmJT4ec5HkI/AAAAAAALhhE/JNLKIePsLNwdLrmiX9ai2BASDWiPqPB6ACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s72-c/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA BW. GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s1600/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-3AA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimokatika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-4AAA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi nyenzo baada ya kumuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk5AA-1024x682.jpg)
ais wa Jamhuri ya...
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC