Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILALA AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K7vYV_2MOJU/VGuHo-kpSaI/AAAAAAACu50/eTl8Vozcwbc/s72-c/IMG_1432.jpg)
KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII AKABIDHIWA OFISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-K7vYV_2MOJU/VGuHo-kpSaI/AAAAAAACu50/eTl8Vozcwbc/s1600/IMG_1432.jpg)
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OSFVw7jahMw/VM-q2dorrdI/AAAAAAAHBHA/nPS4d3f_fPw/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha
![](http://3.bp.blogspot.com/-OSFVw7jahMw/VM-q2dorrdI/AAAAAAAHBHA/nPS4d3f_fPw/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Hamisi Hassan Mwinyimvua (pichani) kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, anayesimamia Menejimenti ya Fedha za Umma (Public Finance Management).
Kabla ya uteuzi wake, Dkt. Mwinyimvua alikuwa Msaidizi wa Rais wa muda mrefu wa masuala ya uchumi.Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Yohana Sefue leo, Jumatatu, Februari 2, 2015, imesema kuwa uteuzi wa Dkt. Mwinyimvua ulianza...
10 years ago
Habarileo28 May
Balozi Mulamula aapishwa kuwa Katibu Mkuu
RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (pichani).
Aidha, katika sherehe fupi ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alimwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika wizara hiyo.
Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Rais Kikwete alimwapisha pia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LUAMEuoJywY/VoasXoM2SKI/AAAAAAAIPzg/cpeZqdW0n7E/s72-c/9c8ec060-ff44-4cf8-86fb-bc5e2dd8be28.jpg)
Hawa ndio majenerali walioteuliwa kuwa makatibu wakuu Wizara za Maliasili na Utalii na Mambo ya ndani ya nchi
![](http://4.bp.blogspot.com/-LUAMEuoJywY/VoasXoM2SKI/AAAAAAAIPzg/cpeZqdW0n7E/s640/9c8ec060-ff44-4cf8-86fb-bc5e2dd8be28.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s72-c/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA BW. GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s1600/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-3AA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimokatika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-4AAA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi nyenzo baada ya kumuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk5AA-1024x682.jpg)
ais wa Jamhuri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-D7wvPid59dQ/XmJS_dIqstI/AAAAAAALhg8/a1lG1EUAego4BiCvWxQcczCe9ixqjkqTQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j15bKWnZaqA/XmJSvLxdfOI/AAAAAAALhgw/iKGzR1yC-cEp--m8caimU7im4l3xXQCTACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_IMWrPSSN60/XmJT4ec5HkI/AAAAAAALhhE/JNLKIePsLNwdLrmiX9ai2BASDWiPqPB6ACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)