MAKAMU WA RAIS DKT. BILALA AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII LEO
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kaimu Rais Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimuapisha Dkt. Adelhelm James Meru kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii kwenye hafla fupi iliyofanyika leo Novemba 17,2014 Ikulu Dar es salaam.
Makamu wa Rais na Kaimu Rais Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na utalii Dkt. Adelhelma James Meru wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuapishwa leo Novemba 17, 2014 Ikulu Dar es salaam.
Makamu wa Rais...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII LEO
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s72-c/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA BW. GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-YgRKoKbGQQc/XmIaOlXh8YI/AAAAAAALhcY/TNP7yHIbMngNDzq_QsXX7gh3D1xK8OurQCLcBGAsYHQ/s1600/kk-2aaaAAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-3AA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimokatika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk-4AAA-1024x682.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi nyenzo baada ya kumuapisha Bw. Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Ijumaa March 6, 2020
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/kk5AA-1024x682.jpg)
ais wa Jamhuri ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-kdhyYPHRy0s/XmJSlanctkI/AAAAAAALhgs/O2sLWkwgRhIz3MPsFhbDJSXWcqX82ShPwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-D7wvPid59dQ/XmJS_dIqstI/AAAAAAALhg8/a1lG1EUAego4BiCvWxQcczCe9ixqjkqTQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-j15bKWnZaqA/XmJSvLxdfOI/AAAAAAALhgw/iKGzR1yC-cEp--m8caimU7im4l3xXQCTACLcBGAsYHQ/s640/04.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_IMWrPSSN60/XmJT4ec5HkI/AAAAAAALhhE/JNLKIePsLNwdLrmiX9ai2BASDWiPqPB6ACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Dkt. Adelhelm James Meru aapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Gharib Bilal (kushoto) akimuapisha Dkt. Adelhelm Meru kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akila kiapo kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Dkt. Adelhelm Meru (kulia) akiweka saini katika Kitabu mara baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii leo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mhe....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tkrARHvgfeU/XtfkdeLBeCI/AAAAAAALsig/kxvC5meI7pMzeBo3XF089lWN6lIwPWo-gCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-03%2Bat%2B20.55.36.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-K7vYV_2MOJU/VGuHo-kpSaI/AAAAAAACu50/eTl8Vozcwbc/s72-c/IMG_1432.jpg)
KATIBU MKUU MPYA WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII AKABIDHIWA OFISI
![](http://2.bp.blogspot.com/-K7vYV_2MOJU/VGuHo-kpSaI/AAAAAAACu50/eTl8Vozcwbc/s1600/IMG_1432.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s72-c/kk%2B%25283%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMUAPISHA GERALD MUSABILA KUSAYA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-g0ig7haYieo/XmJmIUDxOoI/AAAAAAACIOM/hPoNk-KK2Hk9akSzQDKehCm-xZWMaEoUACLcBGAsYHQ/s320/kk%2B%25283%2529.jpg)
IKULU, Dar es Salaam
Rais Dk. John Magufuli, amemuapisha Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika iliyofanyika leo Ikulu Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mawaziri, Makatibu Wakuu na Naibu Katibu Mkuu, Viongozi Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT BILALA AKUTANA UJUMBE WA BRN IKULU JIJINI DAR LEO
11 years ago
Dewji Blog29 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahani msiba wa Mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Dkt. Servacius Likwelil, wakati alipofika kumfariji Katibu huyo nyumbani kwake Boko Jijini Dar es Salaam, jana jioni. Mazishi yanatarajia kufanyika leo jioni kwenye Makaburi ya Kinondoni. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji katika...