Makamu wa Rais Dkt. Bilal ahani msiba wa Mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha mke wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Dkt. Servacius Likwelil, wakati alipofika kumfariji Katibu huyo nyumbani kwake Boko Jijini Dar es Salaam, jana jioni. Mazishi yanatarajia kufanyika leo jioni kwenye Makaburi ya Kinondoni. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na waombolezaji katika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILALA AMUAPISHA KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII LEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-67toYJbQD6g/VFeMRIwD6CI/AAAAAAAGvT4/nZa3MZbL8is/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA RAIS WA ZAMBIA, MICHAEL CHILUFYA SATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-67toYJbQD6g/VFeMRIwD6CI/AAAAAAAGvT4/nZa3MZbL8is/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bL7b8zarCJk/VFeMQohp5MI/AAAAAAAGvTs/_nu6sFJG4ao/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5FffmZ38y-Y/VFeMRCU1GxI/AAAAAAAGvTw/fBrbNQdkRUo/s1600/unnamed%2B(88).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6tUdOcQvwb8/VDPdQGIoAaI/AAAAAAAGof0/ltV67zNz-4A/s72-c/unnamed%2B(88).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO MSIBA WA PROFESSA KIVASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6tUdOcQvwb8/VDPdQGIoAaI/AAAAAAAGof0/ltV67zNz-4A/s1600/unnamed%2B(88).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l3E5SUe-Z7s/VDPdQigclpI/AAAAAAAGof4/DDrBqb29tJs/s1600/unnamed%2B(89).jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Makamu wa Rais Dkt. Bilal alipohani msiba wa Baba yake Rostam Azizi Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rostam Azizi, wakati alipofika nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, jana Mei 31, 2014 kwa ajili ya kumpa pole kwa kufiwa na Baba yake mzazi aliyefariki katikati ya wiki hii. (Picha na OMR).
heikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa, akitoa mawaidha wakati wa dua maalum iliyofanyika nyumbani kwa Rostam Azizi Oysterbay kumuombea Baba mzazi wa Rostam, aliyefariki katikati ya wiki...
11 years ago
Dewji Blog15 Apr
Makamu wa Rais Dkt. Bilal aongoza waombolezaji msiba wa Maalim Muhidin Gurumo, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Mbunge wa Ilala, Azzan Zungu, na baadhi ya waombolezaji wakati alipowasili nyumbani kwa marehemu Maalim Muhidin Gurumo, Mabibo jijini Dar es Salaam, kwa ajili kuaga mwili wa marehemu kabla ya kusafirishwa kuelekea Kijijini kwao Masaki Wilaya ya Kisarawe kwa maziko, leo, Aprili 15, 2014 . Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s72-c/zz.jpg)
DKT. BILAL AHANI MSIBA WA BABA YAKE ROSTAM AZIZI JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-JwGM_xVqtW0/U4nyE1DcgCI/AAAAAAAFmxs/01oZp4gnvJA/s1600/zz.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t2Sba_Y-pas/U4nyGMCI7nI/AAAAAAAFmx0/jcoujWfZD5M/s1600/zz1.jpg)