Rais Kikwete awaapisha Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha na Balozi wa Tanzania nchini Kenya
Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha Dkt. Hamisi Mwinyimvua akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete wakati wa hafla ya kumwapisha iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amewaapisha Dkt. Hamisi Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara Fedha na Balozi wa Tanzania nchini Kenya John Haule katika hafla iliyofanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Akizungumzia nafasi yake ya sasa,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Rais kikwete awaapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha. Katika hafla hiyo iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Bwana John Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na Dkt.Hamisi Mwinyimvua ameapishwa kuwa naibu katibu mkuu wa Wizara ya Fedha.
Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya Bwana John Haule akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Balozi mpya...
![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t2VdG98Hufo/VNyBIP7OwkI/AAAAAAAHDS4/pPpYbzj9sA8/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s72-c/IMG-20150527-WA0013.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU MKUU, NAIBU KATIBU MKUU WA MAMBO YA NJE NA BALOZI WA TANZANIA SAUDIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a7N0xoXWXoY/VWXSIvfddiI/AAAAAAAAeAY/AvLtOv6lolE/s640/IMG-20150527-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ceZl_-FiM1w/VWXW2zZlSOI/AAAAAAAAeA8/G1BiVYu6OLc/s640/IMG-20150527-WA0020.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Feb
11 years ago
GPL![](https://1.bp.blogspot.com/-0WNkgl4cLAs/UyLKHSzkxBI/AAAAAAAAOGI/4YCpYIWpDgo/s1600/IMG_4232.jpg)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA KATIBU NA NAIBU KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBA LEO MJINI DODOMA
Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw, Yahya Khamis Hamad akiapa mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma. Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Yahya Khamis Hamad akisaini Kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete Leo Mjini Dodoma.…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s72-c/D92A4440.jpg)
Rais Kikwete awaapisha Katibu na Naibu Katibu wa Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma leo
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Katibu na naibu katibu wa Bunge Maalum la katiba katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma leo.
Rais ni Katibu Bwana Yahya Khamis Hamad akila kiapo kuwa Katibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wa pili kushoto akishuhudia kiapo ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
![](http://2.bp.blogspot.com/-qGfZS5Y66O8/UyLkxowoZII/AAAAAAAFTfQ/rbFDPu1GtQM/s1600/D92A4440.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6IKnz_VvaYo/UyLkxwz4NAI/AAAAAAAFTfU/4Q6GntKFed8/s1600/D92A4470.jpg)
Dkt. Thomas Kashililah akila kiapo kuwa Naibu Katibu wa Bunge Maalum la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzAkQIH991otX7ib36lP-A-juT7TrEHZANWP9QcARYbquNu61ozIZQSTHUwq*fqx8Q5fcPCxR6DBa57fx6zBcYVH/balozimulamula.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMTEUA BALOZI MULAMULA KUWA KATIBU MKUU, WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Balozi Liberata Mulamula. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico. Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOJIGJLl3rwaGsMPE0i2PNLxc1a2BalBvcfFrP72f1giOlfPs5ulXzG1qvA7JqZ8*8BqRzWpXrgN*UkUq9uD1Zum/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AWAAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI MALAYSIA NA KAMISHA WA TUME YA USULUHISHI, IKULU JIJINI DAR LEO
Balozi mpya wa Tanzania nchini Malaysia Dkt.Aziz Ponary Mlima akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Kamishna wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi Bwana Jafari Omari akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q7T2q86GkzXWpjaERRj20yX5zey-MhDdSHFmyK5PNe6grMN*tQ0YkvPqG4Xze8HtRbOsYBbZAnm*0QiWiF19LGDqbbz0Hvei/1k1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA URUSI, NAIBU KATIBU MTENDAJI WA TUME YA MIPANGO
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es Salaam jana Mei 15, 2014.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha baada ya kumuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es Salaam jana Mei 15, 2014.…
...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania