NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salum akifunga mafunzo ya siku tatu kwa washiriki juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru katika Hoteli ya Grand Palace Malindi Mjini Zanzibar. Mwakilishi wa TradeMark Afrika Mashariki kupitia Tanzania Asaac Mtwale akiwashukuru washiriki wa mafunzo juu ya vikwazo vya Biashara visivyo vya kiushuru bara maada ya kufungwa kwa mafunzo hayo katika Hoteli ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA, VIWANDA NA MASOKO ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU YA VIKWAZO VYA BIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EQ4f9_op3Ss/VEo_eyEbbKI/AAAAAAAGtIA/ZpmyU2jdj2w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AFUNGA MAFUNZO ELEKEZI YA WATUMISHI WAPYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EQ4f9_op3Ss/VEo_eyEbbKI/AAAAAAAGtIA/ZpmyU2jdj2w/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-znpIBVxbIMc/VEo_fJ00rZI/AAAAAAAGtH8/4Bp2VYbWSWs/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara afungua maonyesho ya bidhaa za China ukumbi wa Diamond Jubilee
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015, katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Mpiga picha wetu).
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (katikati) akikata utepe kufungua maonyesho ya bidhaa za China 2015 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam jana.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kIM-LmEPSMQ/VlttgprL37I/AAAAAAAIJFI/2x7iIkAFy1M/s72-c/pix%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA IDARA YA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kIM-LmEPSMQ/VlttgprL37I/AAAAAAAIJFI/2x7iIkAFy1M/s640/pix%2B1.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGA MAFUNZO YA ZIMAMOTO NA UOKOAJI CHUO CHA UONGOZI JKT KIMBIJI
10 years ago
VijimamboDk Shein akutana na watendaji Wizara ya Biashara Viwanda na Masoko Ikulu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QGPHMg3s_yg/Xliuaq87DKI/AAAAAAALfzI/U0o9JZpYrfsixRxmlOshnl-G2F_SUT1nQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-66.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA APOKEA UJUMBE KUTOKA SEKRETARIETI YA SOKO LA PAMOJA LA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA COMESA
![](https://1.bp.blogspot.com/-QGPHMg3s_yg/Xliuaq87DKI/AAAAAAALfzI/U0o9JZpYrfsixRxmlOshnl-G2F_SUT1nQCLcBGAsYHQ/s640/1-66.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe na Naibu Katibu Mkuu Ndugu Ludovick Nduhiye wakiwa katiza picha ya pamoja na Ujumbe kutoka Sekretarieti ya COMESA ulioongozwa na Balozi Dr. Kipyego Cheluget.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2-53.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akipokea zawadi kutoka kwa Naibu Katibu mkuu anayeshughulikia miradi kutoka sekretarieti ya (COMESA) Balozi Dr. Kipyego Cheluget.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-52-1024x365.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe akiongoza kikao...