MEMBE MGENI RASMI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARANI AFRIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s72-c/unnamed.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Assah Mwambene akizungumza na waandishi wa habari (hawapo) ndani ya ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Msahuri,kumbukumbu za ukombozi wa Barani Afrika,Daniel Ndagala, Mshauri na mtafiti UNESCO Phelippe Roisse na wa mwisho ni Dinah Mumbaga Mtafiti na mshauri wa UNESCO.(Picha na Avila Kakingo).
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 May
Wiki ya Ukombozi wa Afrika na Uzinduzi Mradi Uhifadhi Urithi Nyaraka Tanzania
![Profesa Issa Shivji akichokoza mada katika mjadala wa Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0059.jpg)
![Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Silima akisoma hotuba ya uzinduzi akimuwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe kwenye Maadhimisho ya Wiki wa Ukombozi wa Afrika inayofanyika Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0237.jpg)
![Ofisa Mkuu na Mwakilishi Mkazi wa UNESCO nchini Tanzania, Mzulmira Rodrigues akizungumza katika Maadhimisho ya Wiki ya Ukombozi wa Afrika inayofanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0198.jpg)
10 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARA LA AFRIKA,WANAWAKE WAELEZA NAMNA WALIVYOSHIRIKI KATIKA UKUMBOZI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FPEdH34yDEk/Xr6rqEXYkqI/AAAAAAALqXs/nIGDFOEvmUI55_f5hqQa9HWCtT3yn9AHgCLcBGAsYHQ/s72-c/79ba0279-5774-43d0-822b-299b8a6b1764.jpg)
NAIBU SPIKA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA KILELE CHA WIKI YA WAUGUZI JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FPEdH34yDEk/Xr6rqEXYkqI/AAAAAAALqXs/nIGDFOEvmUI55_f5hqQa9HWCtT3yn9AHgCLcBGAsYHQ/s640/79ba0279-5774-43d0-822b-299b8a6b1764.jpg)
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Wauguzi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Bilinith Mahenge na kushoto kwake ni Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo, Dkt. Ernest Ebenzi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/384fd087-df37-4475-98d6-b667ea33235e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
10 years ago
GPLMAADHIMISHO UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA YAANZA DAR!
10 years ago
GPLTANZANIA, UNESCO KUADHIMISHA WIKI YA UKOMBOZI AFRIKA
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
10 years ago
MichuziMEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA