Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s1600/membe%2Bvn.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...
10 years ago
MichuziMembe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amesema elimu imekomboa wanawake nchini Tanzania kwa kuwapa uwezo wa kushiriki sawa sawa na wanaume kwenye fursa za kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
11 years ago
Habarileo20 Feb
JK mgeni rasmi mahafali Chuo cha Kodi
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo cha Kodi. Mahafali hayo ya sita yanatarajiwa kufanyika kesho katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere. Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Charles Sabuni, alisema hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali hayo.
11 years ago
GPLWOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW
Jacqueline Wolper akitoa hotuba fupi katika mahafali hayo. Akigawa vyeti kwa wahitimu.…
10 years ago
Michuziwaziri mkuu mstaafu,mh sumaye mgeni rasmi mahafali ya 13 ya RCT.
10 years ago
MichuziMEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
10 years ago
MichuziMH. MEMBE KUWA MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na...
9 years ago
MichuziMwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala mgeni rasmi kwenye mahafali ya shule ya awali ya St Andrew’s
Joseph Zablon
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania