Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, kesho Jumamosi Desemba 6 anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
10 years ago
MichuziMembe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
11 years ago
Habarileo20 Feb
JK mgeni rasmi mahafali Chuo cha Kodi
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo cha Kodi. Mahafali hayo ya sita yanatarajiwa kufanyika kesho katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere. Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Charles Sabuni, alisema hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali hayo.
11 years ago
GPLWOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW
10 years ago
Michuziwaziri mkuu mstaafu,mh sumaye mgeni rasmi mahafali ya 13 ya RCT.
10 years ago
MichuziMEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
10 years ago
MichuziMH. MEMBE KUWA MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na...
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s72-c/196.jpg)
BALOZI SEIF IDDI MGENI RASMI KWENYE MAHAFALI YA SHUO CHA ELIMU YA BIASHARA PEMBA
![](http://2.bp.blogspot.com/-b40b0j0koG4/VOnXRKB9XgI/AAAAAAAHFN8/BfcyqqTmASI/s1600/196.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePkPcp6PBNs/VOnXRQFCZyI/AAAAAAAHFOA/HtgdRZe6o6g/s1600/203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CDPo5hddbMU/VOnXP9Y-jSI/AAAAAAAHFNo/9QXlY1zkl1s/s1600/183.jpg)