Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW

Jacqueline Wolper akitoa hotuba fupi katika mahafali hayo. Akigawa vyeti kwa wahitimu.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea

Mwigizaji  na Muongozaji  wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni  rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani  pwani.

“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach

_DSC5609

 Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za shule hiyo   Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akiwasili katika viwanja vya shule hiyo jana asubuhi  na kukukaribishwa na Meneja wa shule hiyo ya Rightway,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Membe mgeni rasmi mahafali UB

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...

 

11 years ago

Habarileo

JK mgeni rasmi mahafali Chuo cha Kodi

RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo cha Kodi. Mahafali hayo ya sita yanatarajiwa kufanyika kesho katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere. Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Charles Sabuni, alisema hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali hayo.

 

10 years ago

Michuzi

Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, kesho Jumamosi Desemba 6 anatarajiwa Kuwa mgeni rasmi Katika Mahafali ya Pili ya  Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam,  na Ofisa Habari wa  ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo  View Resort  kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.

Katabazi alisema...

 

10 years ago

Michuzi

waziri mkuu mstaafu,mh sumaye mgeni rasmi mahafali ya 13 ya RCT.

Waziri mkuu mstaafu Frederic Sumaye akihutubia katika mahafali ya kumi na tatu ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Royal yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Mawela Sinza. Wadau wa sekta ya habari wakiwa wamepozi baada ya kuhitimu katika chuo cha RCT,pichani ni baadhi ya wahitimu kutoka  Guardian wakiwa na mpigapicha mkongwe Juma Dihule.  pichani ni baadhi ya wahitimu. 

 

10 years ago

Michuzi

Membe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amesema elimu imekomboa wanawake nchini Tanzania kwa kuwapa uwezo wa kushiriki sawa sawa na wanaume kwenye fursa za kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...

 

9 years ago

Michuzi

Profesa Mark Mwandosya awa Mgeni Rasmi Siku ya Taifa ya Bima

Na Sultani Kipingo wa Globu ya JamiiWaziri wa Nchi(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya alikuwa Mgeni Rasmi katika kongamano lililoandaliwa kusherehekea Siku ya Taifa ya Bima, Ijumaa tarehe 25 Septemba 2015. Kongamano hilo liliandaliwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Bima Tanzania (Insurance Institute of Tanzania - IIT) na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania ( Tanzania Insurance Regulatory Authority-TIRA). Kongamano hilo liliwakutanisha wadau wa sekta ya bima kutoka ndani...

 

10 years ago

Vijimambo

NYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMVBwn. Iddi Sandaly akimpokea Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi mara tu alipowasili siku ya Jumamosi April 25, 2015 Capitol Heghts kwenye  nyama choma ya Jumuiya ya Watanzania DMV na yeye kupata fulsa ya kuwasalimia Watanzania waliohudhuria BBQ hiyo.Meza kuu kutoka kushoto ni mama Sitti Mwinyi, Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula.Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn Iddi Sandaly akiongea kumshukuru Rais...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani