WOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW
Jacqueline Wolper akitoa hotuba fupi katika mahafali hayo. Akigawa vyeti kwa wahitimu.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea
Mwigizaji na Muongozaji wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani pwani.
“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
11 years ago
Habarileo20 Feb
JK mgeni rasmi mahafali Chuo cha Kodi
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo cha Kodi. Mahafali hayo ya sita yanatarajiwa kufanyika kesho katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere. Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Charles Sabuni, alisema hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali hayo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s1600/membe%2Bvn.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...
10 years ago
Michuziwaziri mkuu mstaafu,mh sumaye mgeni rasmi mahafali ya 13 ya RCT.
10 years ago
MichuziMembe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5YxYZkzc0Wk/VgejgMpu4iI/AAAAAAAH7WU/EDFVYHS6-p0/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
Profesa Mark Mwandosya awa Mgeni Rasmi Siku ya Taifa ya Bima
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI