WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea
Mwigizaji na Muongozaji wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani pwani.
“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach
9 years ago
MichuziMwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala mgeni rasmi kwenye mahafali ya shule ya awali ya St Andrew’s
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...
11 years ago
Dewji Blog11 Jun
Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
Na Mwandishi wetu
WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.
Kitunga amesema...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/DSC_0481.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5YxYZkzc0Wk/VgejgMpu4iI/AAAAAAAH7WU/EDFVYHS6-p0/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
Profesa Mark Mwandosya awa Mgeni Rasmi Siku ya Taifa ya Bima
10 years ago
VijimamboNYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hIoX7Ddh8Ww/U_S5Us_JOMI/AAAAAAACntU/CFobtmzVio0/s72-c/F1a.jpg)
JK mgeni rasmi mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari Jumuiya ya Afrika Mashariki
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIoX7Ddh8Ww/U_S5Us_JOMI/AAAAAAACntU/CFobtmzVio0/s1600/F1a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ifT4W6K4q6E/U_S5Ux4zg8I/AAAAAAACntg/Xkigjn3t6Jg/s1600/F2.jpg)