Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA Awa Mgeni Rasmi Kwenye Mahafari ya Shule ya Chekechea

Mwigizaji  na Muongozaji  wa filamu hapa nchini Wastara Juma, Siku ya jana alialikwa kama mgeni  rasmi kwenye mahafari ya shule RUMNA NUSR S iliyopo mlandizi, mkoani  pwani.

“Niliakwa kma mgeni rasmi katika shule ya watoto wadogo RUMNAS NUSR SCHOOL(DAY CARE )iliyopo mlandizi nimefurahia heshima niliyopewa sababu mim pia ni mwenyeji wa mji huo na nilisoma uko lakini kikubwa ni heshima niliyonayo kwa watu wa rika zote na kumheshim kila anayeniheshim na kujua umuhimu wangu nimefurahia pia kuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WOLPER AWA MGENI RASMI, MAHAFALI CHEKECHEA YA ST. MATHEW

Jacqueline Wolper akitoa hotuba fupi katika mahafali hayo. Akigawa vyeti kwa wahitimu.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach

_DSC5609

 Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za shule hiyo   Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akiwasili katika viwanja vya shule hiyo jana asubuhi  na kukukaribishwa na Meneja wa shule hiyo ya Rightway,...

 

9 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala mgeni rasmi kwenye mahafali ya shule ya awali ya St Andrew’s

Joseph Zablon
Ufisadi na vitendo vingine vya wizi na ubadhirifu wa mali za umma nchini unachangiwa kwa kiasi kikubwa na malezi mabaya wanayoyapata watoto toka ngazi ya familia na tatizo linakuwa kubwa zaidi anapoingia katika ajira.
Akizungumza wakati wa mahafali ya saba ya Shule za St. Andrew’s zilizopo Tabata Kisukuru, jijini Dar es Salaam juzi, Mwenyekiti wa Wazazi (CCM), wilaya ya Ilala, Meltus Magungu alisema tabia mbaya za majumbani iiwa ni pamoja na choyo uwa na athari mbaya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha

Waziri-wa-Elimu-na-Mafunzo-ya-Ufundi-Dkt.-Shukuru-Kawambwa.

Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.

Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete mgeni rasmi kwenye tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa shule za msingi

DSC_0481

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.

DSC_0533

Na Mwandishi wetu

WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na mazoea ya kusoma vitabu kwa lengo la kuwa wagunduzi wa vitu mbalimbali.

Akizungumza  jijini Dar es Salaam,Mkurugenzi Mtendaji wa  Taasisi ya Soma, Demere Kitunga wakati wa maandalizi ya tamasha la kwanza la vitabu vya hadithi kwa watoto wa Shule za msingi.

Kitunga amesema...

 

11 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA KWANZA LA VITABU VYA HADITHI KWA WATOTO WA SHULE ZA MSINGI‏

Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar wakifanya mazoezi ya maigizo kwa ajili ya tamasha la kesho kwenye ukumbi wa Makumbusho ya Taifa. Mmoja wa watoto akionyesha kipaji chake wakati wa mazoezi kwa vitendo kupitia hadithi mbalimbali walizosoma kutoka kwenye vitabu. Na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa shule za Msingi nchini, wameshauriwa kuwa na… ...

 

9 years ago

Michuzi

Profesa Mark Mwandosya awa Mgeni Rasmi Siku ya Taifa ya Bima

Na Sultani Kipingo wa Globu ya JamiiWaziri wa Nchi(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya alikuwa Mgeni Rasmi katika kongamano lililoandaliwa kusherehekea Siku ya Taifa ya Bima, Ijumaa tarehe 25 Septemba 2015. Kongamano hilo liliandaliwa kwa ushirikiano kati ya Taasisi ya Bima Tanzania (Insurance Institute of Tanzania - IIT) na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania ( Tanzania Insurance Regulatory Authority-TIRA). Kongamano hilo liliwakutanisha wadau wa sekta ya bima kutoka ndani...

 

10 years ago

Vijimambo

NYAMA CHOMA YA SHEREHE YA MUUNGANO, RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI AWA MGENI RASMI

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMVBwn. Iddi Sandaly akimpokea Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi mara tu alipowasili siku ya Jumamosi April 25, 2015 Capitol Heghts kwenye  nyama choma ya Jumuiya ya Watanzania DMV na yeye kupata fulsa ya kuwasalimia Watanzania waliohudhuria BBQ hiyo.Meza kuu kutoka kushoto ni mama Sitti Mwinyi, Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula.Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn Iddi Sandaly akiongea kumshukuru Rais...

 

10 years ago

Michuzi

JK mgeni rasmi mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari Jumuiya ya Afrika Mashariki

 Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22 na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.  Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini, Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani