JK mgeni rasmi mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari Jumuiya ya Afrika Mashariki
![](http://1.bp.blogspot.com/-hIoX7Ddh8Ww/U_S5Us_JOMI/AAAAAAACntU/CFobtmzVio0/s72-c/F1a.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya mashindano ya michezo kwa Shule za Sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki(FEASSSA) Mhe. Mwantumu Mahiza akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa mashindano hayo yanayotarajiwa kuanza tarehe 22 na kuzinduliwa rasmi tarehe 24 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa TAMISEMI Jumanne Sagini, Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi Bonanza la Maveteran wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Aprili 4-5, mwaka huu
Mwenyekiti wa Klabu ya Maveteran, Mussa Kisoky (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya Bonanza hilo la Maveteran wa Afrika Mashariki hiyo Aprili 4 hadi 5, mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Mtemi Ramadhani na kwa upande wa kulia ni, Lawarence Mwalusako, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Idara habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam (Picha na Andrew Chale).
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
RAIS wa Jamhuri ya...
10 years ago
Vijimambo23 May
HOTUBA YA KAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MWANZA WAKATI WA KUFUNGUA MASHINDANO YA NGAZI YA MKOA YA MICHEZO YA SHULE ZA SEKONDARI TANZANIA (UMISSETA) NSUMBA SEKONDARI TAREHE 23 MEI, 2015
Nimeupokea mwaliko huu kwa furaha kwa vile umenipa fursa ya pekee kuwaona na kuzungumza na hadhara hii ya wanafunzi, Wanamichezo na Walimu wao. Aidha, nitumie fursa hii kuupongeza uongozi wa Nsumba na Jumuia yote kwa maandalizi mazuri ya...
10 years ago
Michuzi08 Dec
MASHINDANO YA MICHEZO YA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI YAANZA JIJINI ARUSHA
![SAM_0498](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/KzIMOo_jFNAtQPudRZua0bAZpZ4mQOzMr3bMvlTGRalhIQTKmHO0ZgNm-kzCbCZCHuxIYz6RWS3ePJ1Roo-aBkpe0LfGxAftJnsqAw914F7M6mA-cd_enEM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0498.jpg?w=660)
![SAM_0469](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ihmSIo4XwcdB2dbWy6E6oN4CAoXHrhZNKbm-7RV0tGInTe4RuOukO9Zgu0gg5-KUDwcaMk3Z7rGfF8gm09TNDER5sZmIkV4QL_fKx_M-4amzEm_4CXUPdQM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0469.jpg?w=660)
![SAM_0470](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Mqc9J2CNbw6TfMKQCEkY8yUqJAcNYDWzGWybDHW8UpTSHJKZZ8x6K1rRf6FQ4-Mnjr7mKp4_2Cr2Rzmqcn57NXASpNDXnryLPwufh3rE0PLKr5wh66faxoM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0470.jpg?w=660)
![SAM_0440](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/h_d6iLldgfyloRTXUNf9CUvl_5mHjwAx02gFEypbB-DwUdxf4o2G6Nynxb7p1rDoZLf2wp9hHnxUERv9_zk-q92sHtDUjgpGQ1zlWX83zwUGleuRkqeexS4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0440.jpg?w=660)
![SAM_0452](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/1OaH3Dj_6CL4aYFygVknAw4XZ5Fj9Ck8vIBNN6U35vUnnoAUI5eAtFcexoUfn2REhQ7fiyvMebF_wUIGrMPzvymgUavIsGOjSJoJMvhMP0eGppl5MH0uCbU=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0452.jpg?w=660)
![SAM_0495](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/RJ4AOopZY8aFDtEzDilUJGTSw87AZyRZnx6lkQ40hHZ-Qn03Z5hOn89iWwaplQGXvONuKFh_PHgwnuL_Ekj3EBS-_h4dOx9GmLMHoYoedgVhrw9O8IND23s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0495.jpg?w=660)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s72-c/unnamed+(72).jpg)
Waziri Mukangara azindua rasmi mashindano maalum shule za sekondari Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-wAyutqkUIAU/UvZu7HBE6YI/AAAAAAAFLzE/7A5y5vWEdMM/s1600/unnamed+(72).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WRbOx3AwYzw/VOfHIbFbqqI/AAAAAAAHE3g/gIRkJ0e9umM/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
JK akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika mashariki
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Rais Kikwete akabidhiwa rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Tanzania inaunga mkono kwa dhati Ushirikiano wa Kikanda na muumini mkubwa wa Umoja wa Africa na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema hayo jijini Nairobi mara baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa EAC na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ambaye amekua mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
“Tunaamini kwamba Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyogawanyika, haitaweza kuchukua nafasi yake kamili na heshima katika familia ya Mataifa...
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Dkt. Shukuru Kawambwa kuwa mgeni rasmi kwenye Harambee ya shule ya Sekondari ya Enaboishu mkoani Arusha
Na Beatrice Lyimo, Maelezo-DSM.
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mhe. Dkt. Shukuru Kawambwa (pichani) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Harambee ya kuchangia kuchangia ujenzi wa nyumba za walimu vyumba vya madarasa na ununuzi wa samani katika shule ya Sekondari ya Enaboishu iliyopo mkoani Arusha.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Bodi wa shule hiyo, Bw. Emmanuel Munga wakati alipokuwa akizungumza na waandishi jijini Dar Es Salaam.
Munga amesema kuwa Harambee hiyo inatarajiwa kufanyika...
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki limefunguliwa rasmi jijini Dar es Salaam
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda akihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) la kwanza kufanyika Dar es Salaam, tangu utaratibu wa kufanyika kwa bunge hilo kwa mzunguko kwa kila nchi mwanachama wa Jumuiya.
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa akizungumza kwenye ufunguzi wa bunge hilo.
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda (kushoto) akiwa na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. Margaret Zziwa wakati wa ufunguzi wa vikao vya...