Membe Mgeni Rasmi Mahafali Chuo cha Kampala (KIU)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amesema elimu imekomboa wanawake nchini Tanzania kwa kuwapa uwezo wa kushiriki sawa sawa na wanaume kwenye fursa za kiuchumi, kisiasa na kijamii.
Mhe. Membe, ambaye alikuwa akihutubia kwenye mahafali ya 11 ya Chuo Kikuu cha Kampala (KIU), Jijini Dar es Salaam leo, aliwataka wanawake kutumia kikamilifu fursa za elimu ya juu ili wajitegemee kiuchumi na kuondokana kabisa na unyanyasaji wa kijinsia.
Alielezea ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
JK mgeni rasmi mahafali Chuo cha Kodi
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo cha Kodi. Mahafali hayo ya sita yanatarajiwa kufanyika kesho katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere. Kaimu Mkuu wa Chuo hicho, Charles Sabuni, alisema hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu mahafali hayo.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s72-c/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
ALHAJ ALI HASSA MWINYI MGENI RASMI MAHAFALI YA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x7MBfqsCBao/VkoisdmLuvI/AAAAAAAIGRQ/thMJ709rplc/s640/7abc2eaa-6a26-4eb7-995e-78fdd34900a0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9tM_0VU8TWU/Vkoiv7jhkDI/AAAAAAAIGRY/lhK9GiJK1Do/s640/a0ba7a04-d0e7-4da4-987c-f2ebc6d93d2a.jpg)
11 years ago
MichuziMaalim Seif mgeni rasmi kwenye mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qsQ9Ptj8FCE/VHD69_nRE-I/AAAAAAAGy9g/om0E2PkUJv8/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Profesa Mwandosya mgeni rasmi katika Mahafali ya 16 ya Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino (SAUT),Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/-qsQ9Ptj8FCE/VHD69_nRE-I/AAAAAAAGy9g/om0E2PkUJv8/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rQ8UORNdhIA/VHD6901SwpI/AAAAAAAGy9c/jD74Da3n62w/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s9E56vs2UvA/VHD6-PwnxYI/AAAAAAAGy9k/8Fhk1WUwkFU/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vrmWTvz0sNw/VHD6-asKI_I/AAAAAAAGy-Y/BbIH1kAgclE/s1600/unnamed%2B(49).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jhVUWKEIKu8/VHD6-hNwmmI/AAAAAAAGy9o/LBycFQoaYl8/s1600/unnamed%2B(50).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s72-c/unnamed+(33).jpg)
Maalim Seif Sharif Hamad mgeni rasmi katika mahafali ya tano ya chuo cha Uandishi wa Habari Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYoHVaXLvE4/Uu6YqdZReJI/AAAAAAAFKbA/hyJpSLR9gn8/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OWb25d9h6UI/Uu6YqqciUjI/AAAAAAAFKbI/zwUwL3VZzBU/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-huP7FUwaqbc/Uu6YqmSD4FI/AAAAAAAFKbE/KfPKrnTio2M/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F_cPjbTsGho/Uu6YrGi9rPI/AAAAAAAFKbY/QpjyL7pIhFo/s1600/unnamed+(36).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s72-c/P1.png)
Dkt. Pindi Chana mgeni rasmi katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania jijini Dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-VorldjKjfXE/Vdc6U3Y99zI/AAAAAAAHy6c/rh8bE6xAHRc/s640/P1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajFaiMIeGWM/Vdc6VMkgbNI/AAAAAAAHy6o/J0pifgF4Skc/s640/P2.png)
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Membe mgeni rasmi mahafali UB
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Jumamosi ya wiki hii anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mahafali ya pili ya Chuo Kikuu cha Bagamoyo (UB). Kwa...
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI CHUO CHA UDAKTARI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s72-c/membe%2Bvn.jpg)
Membe mgeni rasmi mahafali UB, kufanyika kesho Bagamoyo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_XzQi5VU2M/VIF4_tSRMQI/AAAAAAABOtM/jC-VFu9ws44/s1600/membe%2Bvn.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo kwa vyombo vya Habari Dar Es Salaam, na Ofisa Habari wa ( UB), Happiness Katabazi, inasema Kuwa Membe ndiye Atakuwa mgeni rasmi Katika mahafali hayo ambayo yatafanyika Katika Hoteli ya Kiromo View Resort kijijini Kiromo Wilayani Bagamoyo,Mkoani Pwani.
Katabazi alisema...