Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya Uhuru wa Jamhuri ya Namibia. Maadhimisho hayo ambayo yaliandaliwa na Ubalozi wa Namibia hapa nchini yalifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Machi, 2015. Namibia ilipata uhuru wake mwaka 1990.
Balozi Isaack akitoa hotuba wakati wa maadhimisho hayoWaziri Membe na Balozi Isaack wakikata keki kuadhimisha miaka 25 ya Uhuru wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MEMBE MGENI RASMI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARANI AFRIKA.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO Assah Mwambene akizungumza na waandishi wa habari (hawapo) ndani ya ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Msahuri,kumbukumbu za ukombozi wa Barani  Afrika,Daniel Ndagala, Mshauri na mtafiti UNESCO Phelippe Roisse na  wa mwisho ni Dinah Mumbaga Mtafiti na mshauri wa UNESCO.(Picha na Avila Kakingo).
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 10 ya utumishi wa umma

01

Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la maadhimisho ya Miaka 10   ya Tume hiyo tangu kuanzishwa kwake ambapo Kongamano hilo litawahusisha Mawaziri, KatibuMkuu Kiongozi na Watendaji Wakuu kutoka katika Wizara, Idara zinazojitegemea,Taasisi na Mashirika ya Umma. Kulia ni Naibu katibu wa Tume hiyo Bi NeemaTawale.

02

Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la...

 

11 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM DMV, BALOZI LIBERATA MULAMULA MGENI RASMI

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiingia ukumbini siku ya Jumapili Feb. 23, 2014 kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM yaliyofanyika College Park, Maryland na kuhudhuriwa na wafuasi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi DMV.
Meza kuu kutoka kushoto ni Ismail (katibu wa Vijina CCM DMV) George Sebo (mwanyekiti CCM DMV) Mhe. Liberata Mulamula (Balozi wa Tanzania nchini Marekani), Mama Kimolo (kitengo cha UWT) na Phanuel Ligate (CCM tawi la California)

 

11 years ago

Michuzi

MH. MWANDOSYA MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais asie na Wizara Maalum,Mh. Prof. Mark Mwandosya (katikati) akiwa pamoja na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania,Dkt. Ben Rugangazi (kushoto) na Bw.Bongani Majura,Mrajisi wa ICTR,Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Rwanda,wakiwa wameshika Mwenge wa kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Watutsi,nchini Rwanda yaliyotokea mwaka 1994.Kumbukumbu hii imefanyika kwenye ukumbi wa Mlimani city jijini Dar es Salaam. Maandamano ya vijana wakiwa na mwenge wa Kwibuka katika...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA TAIFA LA IRAN

 Balozi wa Iran nchini Tanzania,Mh.Mehdi Aghajafari akimpokea Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Dkt.Mahadhi Juma Maalim (Mb) alipowasili katika hafla ya kusherehekea siku ya Taifa la Iran iliyofanyika kwenye makazi ya Balozi huyo Jijini Dar es Salaam jana usiku.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh.Dkt.Mahadhi Juma Maalim (Mb) akizungumza mbele ya wageni mbalimbali walioalikwa katika hafla ya siku ya Taifa la Iran iliyofanyika kwenye makazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Bernard Membe kuwa mgeni rasmi tamasha la Qaswida Mei 25

Q1

Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI BERNALD MEMBE KWA MGENI RASMI TAMASHA LA QASWIDA MEI 25

Q1Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa,ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Membe mgeni rasmi kwenye sherehe za kuukaribisha mwaka Mpya waKichina

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb.) akipokelewa kwa furaha na Balozi wa China hapa nchini Mhe. Dkt. Lu Youqing alipowasili katika hafla ya kuukaribisha mwaka mpya wa Kichina. Waziri Membe amemwakilisha Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kwenye hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Mhe. Membe pamoja na Balozi Lu Youqing wakiimba wimbo wa Taifa katika Hafla ya kuukaribisha mwaka...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MDENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA KLM

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akimsikiliza kwa makini Meneja Mkuu wa KLM kwa upande wa Africa Mashariki Bw. Dries Klein wakati hafla ya maadhimisho ya kutimiza miaka 45 ya Shirika la KLM kufanya kazi nchini yaliyofanyika jana jijijni Dar es Salaam. Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akipongezana kwa furaha na baadhi ya Wadau na watendaji wa Shirika la Ndege KLM wakati wa hafla ya maadhimisho maadhimisho ya kutimiza miaka 45 ya Shirika la KLM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani