WAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya Uhuru wa Jamhuri ya Namibia. Maadhimisho hayo ambayo yaliandaliwa na Ubalozi wa Namibia hapa nchini yalifanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Machi, 2015. Namibia ilipata uhuru wake mwaka 1990.
Balozi Isaack akitoa hotuba wakati wa maadhimisho hayo
Waziri Membe na Balozi Isaack wakikata keki kuadhimisha miaka 25 ya Uhuru wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s72-c/unnamed.jpg)
MEMBE MGENI RASMI UZINDUZI WA MAADHIMISHO YA WIKI YA UKOMBOZI BARANI AFRIKA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBvNARpZE4Y/VVyhzq9ppKI/AAAAAAAC44A/R3DL7lyThBI/s640/unnamed.jpg)
Na Avila Kakingo, Globu ya Jamii.
WAZIRI wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh.Bernard Membe anatarajiwa kuwa mgeni...
10 years ago
Dewji Blog29 Oct
Rais Kikwete mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 10 ya utumishi wa umma
Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bi Claudia Mpangala akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu Kongamano la maadhimisho ya Miaka 10 ya Tume hiyo tangu kuanzishwa kwake ambapo Kongamano hilo litawahusisha Mawaziri, KatibuMkuu Kiongozi na Watendaji Wakuu kutoka katika Wizara, Idara zinazojitegemea,Taasisi na Mashirika ya Umma. Kulia ni Naibu katibu wa Tume hiyo Bi NeemaTawale.
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM DMV, BALOZI LIBERATA MULAMULA MGENI RASMI
Meza kuu kutoka kushoto ni Ismail (katibu wa Vijina CCM DMV) George Sebo (mwanyekiti CCM DMV) Mhe. Liberata Mulamula (Balozi wa Tanzania nchini Marekani), Mama Kimolo (kitengo cha UWT) na Phanuel Ligate (CCM tawi la California)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s72-c/unnamed+(45).jpg)
MH. MWANDOSYA MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B3E-4EA36_U/U0TmMwWoPPI/AAAAAAAFZYc/EQ9p0S8eIWI/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA TAIFA LA IRAN
10 years ago
Dewji Blog19 May
Waziri Bernard Membe kuwa mgeni rasmi tamasha la Qaswida Mei 25
Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi...
10 years ago
Michuzi18 May
WAZIRI BERNALD MEMBE KWA MGENI RASMI TAMASHA LA QASWIDA MEI 25
![Q1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/Q1.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Membe mgeni rasmi kwenye sherehe za kuukaribisha mwaka Mpya waKichina
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tzBuTl4In5s/U3t8tPeJMsI/AAAAAAAFj3Q/DiJxgLOevXs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MDENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA KLM
![](http://4.bp.blogspot.com/-tzBuTl4In5s/U3t8tPeJMsI/AAAAAAAFj3Q/DiJxgLOevXs/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DyGkQTVpK4g/U3t8tUlNMRI/AAAAAAAFj28/ji-_rgNJYxg/s1600/unnamed+(6).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10