WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MDENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 45 YA KLM
![](http://4.bp.blogspot.com/-tzBuTl4In5s/U3t8tPeJMsI/AAAAAAAFj3Q/DiJxgLOevXs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akimsikiliza kwa makini Meneja Mkuu wa KLM kwa upande wa Africa Mashariki Bw. Dries Klein wakati hafla ya maadhimisho ya kutimiza miaka 45 ya Shirika la KLM kufanya kazi nchini yaliyofanyika jana jijijni Dar es Salaam.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akipongezana kwa furaha na baadhi ya Wadau na watendaji wa Shirika la Ndege KLM wakati wa hafla ya maadhimisho maadhimisho ya kutimiza miaka 45 ya Shirika la KLM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii
Dec 23 2015 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alimalizia kujaza nafasi za uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri alizobakiza wakati akitangaza baraza la Mawaziri la kwanza katika awamu ya tano ya utawala wake. Sasa leo Dec 29, 2015 aliyekuwa waziri wa Utalii na Maliasili, Lazaro Nyalandu amekabidhi rasmi ofisi […]
The post Ninazo picha za Lazaro Nyalandu akikabidhi rasmi ofisi kwa Waziri mpya wa Maliasili na Utalii appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/4a1.jpg?width=650)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AZINDUA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YA SWAHILI INTERNATIONAL TOURISM EXPO (SITE)
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s72-c/unnamed+(45).jpg)
MH. MWANDOSYA MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YA RWANDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-FxIzR0lwxFs/U0TlzqyMw0I/AAAAAAAFZYQ/vnMGFJFOnuE/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-B3E-4EA36_U/U0TmMwWoPPI/AAAAAAAFZYc/EQ9p0S8eIWI/s1600/unnamed+(46).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tDmDNGib34M/VFTZvW-7h5I/AAAAAAAGug8/9XvMX6IeA9E/s72-c/1b.jpg)
WAZIRI MKUU MDENI RASMI KATIKA HAFLA KUCHANGIA MADAWATI ILIOANDALIWA NA HASSAN MAAJAR TRUST
![](http://3.bp.blogspot.com/-tDmDNGib34M/VFTZvW-7h5I/AAAAAAAGug8/9XvMX6IeA9E/s1600/1b.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o035_1O17Qg/VFTZvuANO-I/AAAAAAAGuhA/NP2qTMm3G4s/s1600/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Lazaro Nyalandu: Waziri wa Maliasili na Utalii
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gvToTIXzxD8/XvGHEP72nmI/AAAAAAALvAE/y2QI4pNuxUMKYipKwEzsQzWp0JkWW534wCLcBGAsYHQ/s72-c/kigwa9.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii atembelea Makumbusho ya Taifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-gvToTIXzxD8/XvGHEP72nmI/AAAAAAALvAE/y2QI4pNuxUMKYipKwEzsQzWp0JkWW534wCLcBGAsYHQ/s640/kigwa9.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0007b10c-c1dc-47bc-87de-818606388d2f.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
Je Waziri wa Maliasili na Utalii ataweza kukabiliana na changamoto zinazoikabili sekta?
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Siku chache zilizopita baada ya Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa kutangazwa, Tanzania tunatarajia Dk John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atatangaza rasmi baraza lake la Mawaziri. Kila sekta itakuwa imeshikiliwa na Mawaziri ambao Rais ameridhishwa nao katika kukidhi viwango vya kuendesha sekta hizo na katika kurudisha matumaini ya watanzania.
Kati ya Wizara muhimu zinazokuza uchumi wa nchi...