Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI MKUU MDENI RASMI KATIKA HAFLA KUCHANGIA MADAWATI ILIOANDALIWA NA HASSAN MAAJAR TRUST

Waziri Mkuu Mizengo Pinda wa tatu kutoka kulia akibonyeza namba ya simu kwa ajili ya kuchangia madawati 6000 ya wanafunzi wenye ukosefu wa madawati nchini katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Hassan Maajar Trust yenye lengo la kukusanya Sh. milioni 500 ili kununua vifaa hivyo iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dares Salaam.Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia ) akiangalia moja ya mfano wa dawati katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Hassan Maajar...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU ANOGESHA HAFLA YA KUCHANGIA MADAWATI, JIJINI DAR

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda wa tatu kutoka kulia akibonyeza namba ya simu kwa ajili ya kuchangia madawati 6000 ya wanafunzi wenye ukosefu  wa madawati nchini katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa  na Hassan Maajar Trust yenye lengo la kukusanya Sh. milioni 500 ili kununua vifaa hivyo  iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dares Salaam. Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia ) akiangalia moja ya mfano wa dawati katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Hassan...

 

10 years ago

Vijimambo

HASSAN MAAJAR TRUST FUNDRAISING EVENT


he Hassan Maajar Trust will be having their Annual Fundraising Event on Friday 31st October 2014 at the VIP Diamond Jubilee Hall.
As an ardent supporter of the Hassan Maajar Trust we once again count on you to post our attached poster on your well read blog.
We appreciate your support for the ' A Desk for Every Child Campaign'.
Kind regards,Diana

 

9 years ago

CPI Financial

Bank M and Hassan Maajar Trust sign partnership for school improvements


Bank M and Hassan Maajar Trust sign partnership for school improvements
CPI Financial
Bank M Tanzania Plc has once again partnered with the Hassan Maajar Trust (HMT) programme to improve the learning environment in public schools across the country. Print this article. The partnership is partly aimed at providing desks to public primary ...
School desks campaign given significant boostDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)

all 2

 

10 years ago

Michuzi

HASSAN MAAJAR, TIGO WACHANGIA MADAWATI MKOANI SHINYANGA

Mgeni rasmi katibu tawala mkoa wa Shinyanga Projestus Rutabanzibwa (watatu kushoto) kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga akijiandaa kukata utepe wakati wa hafla la kukabidhi madawati 600. Wote wakisherekea baada ya kukata utepe. Baadhi ya madawati 600 yaliokabidhiwa na Tigo pamoja na HMT mkoa wa shinyanga. Picha ya Pamoja. Kushoto(Mgeni rasmi katibu tawala mkoa wa Shinyanga Projestus Rutabanzibwa, makamu mwenyekiti wa Hassan Maajar Trust (HMT) Shariff Hassan Maajar, mkurugenzi wa kampuni...

 

10 years ago

Vijimambo

HASSAN MAAJAR TRUST DESK HAND-OVER EVENT IN SHINYANGA SPONSORED BY TIGO

Mgeni rasmi katibu tawala mkoa wa Shinyanga Projestus Rutabanzibwa(watatu kushoto) kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga akijiandaa kukata utepe wakati wa hafla la kukabidhi madawati 600Wote wakisherekea baada ya kukata utepeBaadhi ya madawati 600 yaliokabidhiwa na Tigo pamoja na HMT mkoa wa shinyangaPicha ya PamojaKushoto(Mgeni rasmi katibu tawala mkoa wa Shinyanga Projestus Rutabanzibwa, makamu mwenyekiti wa Hassan Maajar Trust (HMT) Shariff Hassan Maajar, mkurugenzi wa kampuni ya Tigo...

 

10 years ago

Michuzi

Hassan Maajar Trust yatia fora katik aWiki ya Elimu Dodoma

Inline image 3
Waziri Mkuu Mweshmiwa Mizengo Pinda akijadili jambo na Ambassador Bertha Semu-Somi(Mama madawati) na Project Officer Kayemarie Bukila alipotembelea Banda la Hassan Maajar Trust 

Inline image 1
Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mweshmiwa Dr.Shukuru Kawambwa alipotembelea banda la Hassan Maajar Trust

Inline image 4
Naibu waziri Elimu-Tamisemi Mweshmiwa Kassim M Majaaliwa alipotembelea kibanda cha hassanmaajartrust Inline image 2
Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Mweshmiwa Anna Kilango akimsikiliza Mama Madawati(Bertha...

 

9 years ago

Michuzi

BANK M, HASSAN MAAJAR TRUST SIGN PARTNERSHIP FOR THE IMPROVEMENT OF THE LEARNING ENVIROMENT IN PUBLIC SCHOOLS

Bank M ‘s Deputy CEO Ms. Jacqueline Woiso (second right) and the Ambassador Bertha Semu- Somi who the Trustee and chair of Desks Committee for the Hassan Maajar Trust (second left) exchanging the contracts during the official signing ceremony held at Hyatt Regency today. Bank M has once again partnered with the Hassan Maajar Trust with the aim of providing desks to public primary schools in the country through a charity walk “Walk for a Desk” which will take place on 28th November 2015 at...

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO JIMBO LA RUFIJI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Rufiji ambae pia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid wakati wa hafla ya kuchangia miradi ya maendeleo ya Jimbo la Rufiji iliyofanyika jana jioni Oktoba 26,2014 katika ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es salaam, ambapo jumla ya shilingi milioni 903 zilipatinana na kuweza kuvuka malengo ya zilizokuwa zikihitajika awali shilingi milioni 500.Makamu wa Rais wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani