Mtihani wa Pinda kuanza leo Dodoma
Na Debora Sanja, Dodoma
VIKAO vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2015/16 vinaanza leo Dodoma huku Ofisi ya Waziri Mkuu ikiwa ya kwanza kuwasilisha bajeti yake.
Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Ofisi ya Bunge, mkutano huo wa 20 Bunge unatarajiwa kuanza leo hadi Juni 27 mwaka huu ambako Bunge hilo litavunjwa na nchi kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani.
Waziri Mkuu Pinda atawasilisha bajeti ya ofisi yake ambayo inahusisha wizara tatu ambazo ni Ofisi ya Bunge, Sera, Uratibu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Nov
Kidato cha 4 kuanza mtihani leo
WATAHINIWA 448,358 wa shule na wa kujitegemea wanatarajia kufanya mtihani wa kumaliza Kidato cha Nne unaotarajia kuanza kufanyika leo nchi nzima.
10 years ago
Habarileo04 Jun
Mkutano Bonde Nile kuanza leo Dodoma
MAWAZIRI wanaohusika na masuala ya Maji katika nchi za Bonde la Mto Nile (NBI), wanaanza kikao chao leo mjini Dodoma kwa ajili ya Mkutano wa 23 wa mwaka wa Baraza la Mawaziri wa nchi hizo.
11 years ago
GPLPINDA KUKUTANA NA SURPRISE LEO DODOMA
10 years ago
Habarileo09 Sep
Darasa la saba kuanza mtihani wa mwisho Jumatano
WANAFUNZI 808,111 wa Darasa la Saba kesho wanaanza mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika kwa siku mbili mfululizo.
10 years ago
MichuziPINDA AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS MJINI DODOMA LEO