Ufisadi wagubika zabuni uagizaji mafuta
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
HOFU imetanda kwa watumiaji magari na mitambo nchini kutokana na taarifa kwamba bei ya dizeli na petroli inaweza kupanda kutokana na kuzuka utata katika zabuni Namba PIC/2015/G-P/37 iliyopewa Kampuni ya Nishati ya Augusta bila kufuata utaratibu wa zabuni rasmi.
Zabuni hiyo ambayo ni ya kuagiza mafuta nje ya nchi ndiyo inatajwa kuwa ghali zaidi tangu Kampuni ya Uratibu wa Uagizaji wa Mafuta (PICL) ianzishwe miaka kadha iliyopita.
Kwa mujibu wa habari...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Enoc Afrika yashinda zabuni uagizaji mafuta
KAMPUNI ya mafuta ya ENOC Afrika, imeshinda zabuni ya uagizaji mafuta chini ya mfumo wa uagizaji wa pamoja ‘Petroleum Bulk Procurement System’ (BPS) kwa Oktoba mwaka huu. Zabuni hiyo ilivutia...
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Utata wagubika taarifa ya Kilango
11 years ago
Mwananchi20 Jul
Utata wagubika wizi wa madini Mirerani
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Utata wagubika fedha za walimu Kilimanjaro
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Utata wagubika bwawa mto Nile
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Utata wagubika mgawo wa Yanga, Simba
9 years ago
Habarileo23 Sep
Shein aahidi kupunguza uagizaji chakula nje
MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Ali Mohamed Shein amesema atahakikisha Zanzibar inajitosheleza kwa chakula na kupunguza uagizaji wa chakula nje ya nchi, kwa kuimarisha kilimo cha umwagiliaji mpunga mashambani.
10 years ago
Tanzania Daima25 Nov
Dodoma, Mtwara mfano bora uagizaji dawa
NAIBU Waziri wa Afya Dk. Steven Kebwe ameipongeza mikoa ya Dodoma na Mtwara kwa kuwa na wazabuni wa dawa ambao huifanya mikoa hiyo kutokuwa na ukosefu wa dawa pindi Bohari...
5 years ago
MichuziEWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...