Dodoma, Mtwara mfano bora uagizaji dawa
NAIBU Waziri wa Afya Dk. Steven Kebwe ameipongeza mikoa ya Dodoma na Mtwara kwa kuwa na wazabuni wa dawa ambao huifanya mikoa hiyo kutokuwa na ukosefu wa dawa pindi Bohari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wakulima Dodoma, wasifu Ufanisi wa TPA katika kuwezesha Usafirishaji wa Mazao na Uagizaji wa Pembejeo za Kilimo
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.
Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (wapili kushoto) akifafanua jambo kwa Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-7r2hSFWKpOQ/Vif7LtBzJHI/AAAAAAAIBk0/HMfBkKVxiHk/s72-c/1.jpg)
NHIF KUWEKEZA VITUO VYA MFANO KIGOMA, MTWARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7r2hSFWKpOQ/Vif7LtBzJHI/AAAAAAAIBk0/HMfBkKVxiHk/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2ufJsXcAWcY/Vif7LmOTdvI/AAAAAAAIBkw/QuOSMllHT-M/s640/2.jpg)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Michael Mhando akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mikakati ya Mfuko huo ya ujenzi wa Vituo vya mfano vya matibabu.
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unatarajia kuanza ujenzi wa vituo vya matibabu vya mfano katika mikoa ya Mtwara na Kigoma katika mwaka huu wa fedha wa 2015/2016.
Mikakati hiyo imesemwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp21IcrocZyt1r56q6qS5gFW4Z8z3AhKUN9biGlqlCrG-0K8R8wWvYq7AXQ01MgZk-5qdJr8d*YdcEm4*EODHdGLX/wakulimaDOM4.jpg)
WAKULIMA DODOMA, WASIFU UFANISI WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA (TPA) KATIKA KUWEZESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO NA UAGIZAJI WA PEMBEJEO ZA KILIMO.
11 years ago
Dewji Blog08 Aug
Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).
Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.
Maktaba ya shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA
10 years ago
Habarileo11 Sep
Mfumo mpya wa kusambaza dawa Dodoma
MKOA wa Dodoma katika kuondoa tatizo la dawa katika zahanati na vituo vya afya vijijini, imeanzisha mfumo maalumu ujulikanao kama ‘Prime Vendor’ (PV) utakaowezesha zahati na vituo vya afya kusambaziwa dawa na msambazaji binafsi, chini ya mpango wa ubia kati serikali na sekta binafsi (PPP).
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Dk. Mpuya: Dodoma haina uhaba wa dawa
MGANGA Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, Dk. Ezekiel Mpuya amesema pamoja na Bohari Kuu ya Dawa (MSD), kusitisha kutoa dawa kwa Serikali lakini mkoa hauna uhaba....
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID SADIKI AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s72-c/unnamed+(91).jpg)
WAFANYAKAZI WA BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR WAPATA MAFUNZO YA SIKU TATU JUU UTOAJI HUDUMA BORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-fk5HUvhu9Rg/U3UrT3dyt8I/AAAAAAAFh-w/29tD1GIl00A/s1600/unnamed+(91).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hnOHXn1lDsc/U3UrTzL0XRI/AAAAAAAFh-8/vDtAt-GfbmQ/s1600/unnamed+(92).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qfnUkAp5lAM/U3UrUNUHfpI/AAAAAAAFh-0/8iFO_-vVZzg/s1600/unnamed+(95).jpg)