Wanafunzi wa sekondari ya wasichana Makete watakiwa kuwa mfano bora kielimu na kitabia
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro akizungumza na wanafunzi wa Makete Girls Sekondari (hawapo Pichani).
Wanafunzi wakimsikiliza mkuu wa wilaya ya Makete Mh Josephine Matiro.
Maktaba ya shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Josephine Matiro akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wa shule hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (wa tatu kushoto) akiwa na walimu wa shule hiyo, wa kwanza kulia ni Afisa Taaluma sekondari wilaya hiyo.(Picha zote na Edwin...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWANAFUNZI WA SEKONDARI YA WASICHANA MAKETE WATAKIWA KUWA MFANO BORA KIELIMU NA KITABIA
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Mkabogo: Kijiji cha kupigiwa mfano kielimu Kigoma
10 years ago
CloudsFM05 Feb
KAJALA AWAFUNGUKIA WANASEMA KUWA ANAMHARIBU MWANAYE KITABIA
Staa wa Bongo Movie,Kajala Masanja amewatolea uvivu mashabiki wake waliomshambulia kuwa anamharibu mtoto wake aliyezaa na producer wa Bongo Records,P Funk,Paula kutokana na mavazi yasiyo na maadili anayoyavaa mbele ya mwanaye huo.
Mashabiki hao walimshambulia kupitia mtandao wa Instagram baada ya kupost picha akiwa amevaa nguo ambayo inaonyesha tumbo lake likiwa wazi ambapo mashabiki hao walidai kuwa anamfundisha nini mwanaye kutokana na mavazi hayo aliyoyavaa.
Baada ya kuona mashambulizi hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DvfYnzzJq8U/XkV4xWZkaTI/AAAAAAALdS8/vLQCnlM244c-McMGx6y8P3ixBgKE8GyugCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200213_153341.jpg)
Makete:Wasichana hulazimika kutumia shumizi za wenzao kama Pedi
![](https://1.bp.blogspot.com/-DvfYnzzJq8U/XkV4xWZkaTI/AAAAAAALdS8/vLQCnlM244c-McMGx6y8P3ixBgKE8GyugCLcBGAsYHQ/s320/IMG_20200213_153341.jpg)
Baadhi ya wanafunzi wasichana wa shule za sekondari wilayani Makete mkoani Njombe inaelezwa hulazimika kutumia nguo za ndani za wenzao kama pedi kutokana na wakati mwingine kuishiwa fedha za kununua vifaa hivyo wanapokuwa hedhi.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya walimu walezi mara baada ya shule tano katika tarafa za Bulongwa na Magoma wilayani Makete mkoani Njombe wanafunzi Wapatao 920 kupewa msaada wa taulo za kike kutoka kwa wadau wa maendeleo jamii kama njia...
10 years ago
Michuzi26 Aug
SEKONDARI YA MAKETE GIRLS YATII MAAGIZO YA MKUU WA WILAYA
Shule ya sekondari ya wasichana (Makete Girl's) imetii agizo la mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro la kutaka wanafunzi hao wapewe uji mara baada ya vipindi viwili vya asubuhi badala ya saa nne agizo alilolitoa Agosti 8 mwaka huu
Hali kadhalika mkuu huyo aliagiza wapewe chakula cha mchana saa saba ili kuweka uwiano mzuri wa muda...
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Wanafunzi Newala wasema kumbagua mtoto wa kike kielimu ni ukatili
![Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_01791.jpg)
Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.
Mwongozaji wa mjadala huo, Suzan Charles (mbele aliyesimama) kutoka Kituo cha Usuluhishi (CRC) kilichopo chini ya Chama cha Wanahabari Wanawake (TAMWA) akizungumza katika mjadala huo na wanafunzi.
![Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0152.jpg)
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nachitulo akizungumza na mwandishi wa habari hizi.
![Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Nachitulo walioshiriki katika mjadala wakiwa katika picha ya pamoja.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_02021.jpg)
Baadhi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j93EW5bFcwk/XliXAOP_s2I/AAAAAAALfwY/bfJA2HYoF9AKeiyvoK1ah_dVZakSvXGpACLcBGAsYHQ/s72-c/0e0b897d-7a86-404c-850e-bd74f0f19bfc.jpg)
WANAWAKE WATAKIWA KUACHA UOGA NA BADALA YAKE WAPAMBANE KUPATA FURSA ZA KIELIMU, KISIASA NA KIUCHUMI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE nchini wametakiwa kuacha uoga katika mapambano ya kutafuta fursa za kielimu, uchumi au kisiasa na badala yake wajikite katika kupigania haki yao hasa ya usawa wa jinsia.
Pia wametakiwa kufahamu kwamba hakuna mtu mwingine ambaye atakuja kupigania haki ya mwanamke zaidi ya wanawake wenyewe na wasipofanya hivyo nafasi za kiuongozi watabaki kuzisikia tu.
Hayo yamesemwa na Spika Mstaafu wa Bunge, Mama Anne Makinda jijini Dodoma wakati akizindua kongamano la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oZzyoBzxuKA/VArD49fI4PI/AAAAAAAGfpU/7u1HNrIugus/s72-c/IMG_3365-.jpg)
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 IWAWA SEKONDARI, MKUU WA WILAYA YA MAKETE ATOA WOSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZzyoBzxuKA/VArD49fI4PI/AAAAAAAGfpU/7u1HNrIugus/s1600/IMG_3365-.jpg)
Walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Iwawa iliyopo Makete mkoani Njombe wametakiwa kutoridhika na kubweteka na shule hiyo kushika nafasi ya nne kitaifa katika matokeo ya kidato cha sita 2014 yaliyotangazwa miezi michache iliyopita
Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro katika hafla ya kuwapongeza walimu wa Iwawa sekondari baada ya shule hiyo kushika nafasi ya 4 kitaifa, nafasi ya 2 kikanda na nafasi ya 1 kwa mkoa wa Njombe...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Wasichana sekondari walazimishwa kuolewa
SHULE ya Sekondari Ikola mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Mpanda, Katavi inakabiliwa na changamoto kubwa ya idadi kubwa ya wanafunzi kukatiza masomo kwa ajili ya kuolewa.