WANAWAKE WATAKIWA KUACHA UOGA NA BADALA YAKE WAPAMBANE KUPATA FURSA ZA KIELIMU, KISIASA NA KIUCHUMI
![](https://1.bp.blogspot.com/-j93EW5bFcwk/XliXAOP_s2I/AAAAAAALfwY/bfJA2HYoF9AKeiyvoK1ah_dVZakSvXGpACLcBGAsYHQ/s72-c/0e0b897d-7a86-404c-850e-bd74f0f19bfc.jpg)
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE nchini wametakiwa kuacha uoga katika mapambano ya kutafuta fursa za kielimu, uchumi au kisiasa na badala yake wajikite katika kupigania haki yao hasa ya usawa wa jinsia.
Pia wametakiwa kufahamu kwamba hakuna mtu mwingine ambaye atakuja kupigania haki ya mwanamke zaidi ya wanawake wenyewe na wasipofanya hivyo nafasi za kiuongozi watabaki kuzisikia tu.
Hayo yamesemwa na Spika Mstaafu wa Bunge, Mama Anne Makinda jijini Dodoma wakati akizindua kongamano la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0466-768x512.jpg)
SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s640/DSC_0466-768x512.jpg)
Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcutGTjgzL0/Xlf8BzpC1sI/AAAAAAAA9IM/LVbjMEMKwDMG32B2FVbmjL1nlG3Us1JjwCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6532AA.jpg)
Amesema wanawake...
10 years ago
MichuziSERIKALI KUENDELEA KUTOA VIPAUMBELE KWA WANAWAKE KIUCHUMI, KIELIMU NA KIUONGOZI
Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya wanawake kitafa akibonyeza kitufe katika kompyuta mpakato kwa ajili ya kupinga king'ora ili kuashiria uzinduzi rasmi wa maadhimisho hayo jana ( Machi 6) ambayo kilele chake ni machi 8, mwaka huu ,katika uwanja wa Jamhuri wa Morogoro ( anayepiga makofi) ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii , Jinsia na Watoto, Dk Pindi Chana ( kulia) ni Katibu Tawala Msaidizi wa mkoa ,...
9 years ago
Habarileo11 Dec
Mtwara Vijijini watakiwa kuacha tofauti za kisiasa
MADIWANI wa Halmashauri ya Mtwara Vijijini mkoani Mtwara, wametakiwa kuacha tofauti zao za kisiasa badala yake washikamane katika kuijenga Halmashauri hiyo na kuwaletea wanachi waliowachagua maendeleo kwa haraka.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s72-c/5.jpg)
KINANA AWATAKA WANANCHI KUACHA USHABIKI BADALA YAKE WACHAGUE VIONGOZI WENYE SIFA NA WANAOFAA KULIONGOZA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-__HPM9naugk/VXBojbaIo8I/AAAAAAAHcCo/hhFUzx1q2jo/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mf4yF_p6FbA/VXBoaua3oBI/AAAAAAAHcBs/gjb6uCW_lN8/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-47hcA507QyU/Xq_67A5x1UI/AAAAAAALpB8/AIkayNhXR2YN_i245_rhSwx6feBpRwVCQCLcBGAsYHQ/s72-c/14367d4c-412c-4069-81e7-ea1e380faaa4.jpg)
RC TANGA AWATAKA WANANCHI TANGA KUACHA HOFU,BADALA YAKE WAENDELEE KUCHUKUA HATUA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-47hcA507QyU/Xq_67A5x1UI/AAAAAAALpB8/AIkayNhXR2YN_i245_rhSwx6feBpRwVCQCLcBGAsYHQ/s640/14367d4c-412c-4069-81e7-ea1e380faaa4.jpg)
Aidha amesema kuwa serikali imeendelea kujidhatiti na kufanya kazi kwa ushirikiano katika kipindi hiki pia kuhakikisha inawajali sana na kuwapa kipaumbele wataalamu wa Afya.
Zaidi amewaomba wana Tanga kuacha hofu kama anavyosisitiza Raisi wetu wa Dk.John Pombe...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s72-c/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA WATAKIWA KWENDA KUPATA MATIBABU MAPEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s400/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wametakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake wametakiwa kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika kuadhimisha siku ya Fistula duniani inayoadhimishwa tarehe 23 Mwezi Mei kila Mwaka, yenye kauli mbiu mwaka huu inayosema “Tokomeza...