Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Mtwara, Lindi wahimizwa kuchangamkia fursa
WANANCHI wa mikoa ya Lindi na Mtwara, wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotokana na kuongezeka kwa uwekezaji katika mikoa hiyo kutokana na kugundulika kwa gesi asilia. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s72-c/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s640/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2bbfb08c-29d1-455d-a8bb-d37c553e8cac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nHGnO5J2rNo/XlvZfGZzPyI/AAAAAAALgPA/KvIiIYWJ7B4iK9f-8xGAHJ4Oc-f9SVyvACLcBGAsYHQ/s640/2bc7262c-42d3-4472-87ad-4a74096c1925.jpg)
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c08831dc-c199-4cb5-a5cb-e13b04ba822f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/d50c6fd8-9e5e-41f2-a9e7-4fa9dc5f5600.jpg)
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s72-c/unnamed.jpg)
WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QH3Ap0l4u-A/Vb83o5NY4sI/AAAAAAAAS2o/mOCVUJ-rGdY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xWcg3a1yFqU/Vb83o35ghoI/AAAAAAAAS2k/DFxWzfDwO18/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SqBfiynwYt4/Vb83ozNkBBI/AAAAAAAAS2g/8waExSdjUOM/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kiI10aL6MTc/XvS-6qQVuKI/AAAAAAALvb8/wWMJegT0kewF1e6of-c_2-SUTpaOGXDqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B5.43.49%2BPM.jpeg)
WANANCHI BUHIGWE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUWEKA UMEME KWA SHILINGI 27 ELFU
Na Editha Karlo,Buhigwe.
WANANCHI wa Wilayani Buhigwe Mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekaji umeme katika nyumba zao kwa sh.27,000 kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
Akizungumza leo na wananchi walipotembelea vijiji vya Munzeze, Kishanga, Kinazi na kimara vilivyopo wilayani humo, wakati akitoa elimu ya mradi wa REA kwa wananchi, Afisa masoko kutoka Shirika la Umeme Tanzania, makao makuu Dar Es Salaam, Neema Mbuja amesema wananchi waache kujiunganishia umeme bila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j93EW5bFcwk/XliXAOP_s2I/AAAAAAALfwY/bfJA2HYoF9AKeiyvoK1ah_dVZakSvXGpACLcBGAsYHQ/s72-c/0e0b897d-7a86-404c-850e-bd74f0f19bfc.jpg)
WANAWAKE WATAKIWA KUACHA UOGA NA BADALA YAKE WAPAMBANE KUPATA FURSA ZA KIELIMU, KISIASA NA KIUCHUMI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE nchini wametakiwa kuacha uoga katika mapambano ya kutafuta fursa za kielimu, uchumi au kisiasa na badala yake wajikite katika kupigania haki yao hasa ya usawa wa jinsia.
Pia wametakiwa kufahamu kwamba hakuna mtu mwingine ambaye atakuja kupigania haki ya mwanamke zaidi ya wanawake wenyewe na wasipofanya hivyo nafasi za kiuongozi watabaki kuzisikia tu.
Hayo yamesemwa na Spika Mstaafu wa Bunge, Mama Anne Makinda jijini Dodoma wakati akizindua kongamano la...
10 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI LINDI WATAKIWA KUKAMATIA FURSA KWA KUJIUNGA NA CHF-RC LINDI