WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s72-c/unnamed.jpg)
Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi Injini Philbert Rweyemamu akizungumza na wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga wakati wa kikao na wafanyabiashara hao kilichokuwa na lengo la kuwapatia ufahamu juu ya masuala ya manunuzi.
Bwana Nixson Mlumba – AfisaManunuzi wa ACACIA akifafanua jambo wakati wa Kikao hicho
Baadhi ya Wafanyabiashara wakifuatilia kwa makini maelezo ya kutoka kwa Uongozi wa Kampuni ya Acacia wakati wa Kikao hicho.
Mmoja wa wafanyabiashara wa mkoa wa Shinyanga akichangia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rYC1B31H6Vk/XmvQAlviRGI/AAAAAAABMvo/fx9kFzJo23Iecj46H4ijSBTwxO6PItMewCNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
DC MASASI AWATAKA WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA NA NBC BIASHARA CLUB
Mzee amesema, Kuanzishwa kwa NBC Biashara Club liwe ni ni zoezi endelevu ili liweze kuleta tija katika mkoa wa Masasi.
Ameongeza kusema kuwa, kadri watakavyo hudumia wafanyabiashara ndivyo watakavyozidi kuleta fedha kwenye benki.
"Wafanyabiashara wa Masasi wawe makini nkuchangamkia fursa zinazojitokeza ili muweze...
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s72-c/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s640/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2bbfb08c-29d1-455d-a8bb-d37c553e8cac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nHGnO5J2rNo/XlvZfGZzPyI/AAAAAAALgPA/KvIiIYWJ7B4iK9f-8xGAHJ4Oc-f9SVyvACLcBGAsYHQ/s640/2bc7262c-42d3-4472-87ad-4a74096c1925.jpg)
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c08831dc-c199-4cb5-a5cb-e13b04ba822f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/d50c6fd8-9e5e-41f2-a9e7-4fa9dc5f5600.jpg)
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
11 years ago
Michuzi26 Mar
MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA UMOJA WA MATAIFA
![P1130382](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/P1130382.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/P1130382.jpg)
MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AWATAKA VIJANA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA UMOJA WA MATAIFA
9 years ago
StarTV10 Oct
Wadau barani Afrika wahimizwa kuchangamkia fursa za biashara
Wadau wa sekta ya uchumi barani Afrika wamehimizwa kuzichangamkia fursa za biashara na masoko kwa kuzingatia uwekezaji madhubuti ili kukuza uchumi wa nchi zao.
Wito huo umetolewa jijini Nairobi na meneja masoko wa kampuni ya Kenya airways Chris Diaz, akijielekeza zaidi kuzungumzia wajibu wa makampuni ya kibiashara barani Afrika kuzisaidia nchi za kiafrika kufanikisha mpango wa maendeleo wa 2030.
Mpango wa miaka kumi na tano ulioainishwa na Umoja wa mataifa hivi karibuni ukilenga kumaliza...