Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s72-c/unnamed.jpg)
WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QH3Ap0l4u-A/Vb83o5NY4sI/AAAAAAAAS2o/mOCVUJ-rGdY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xWcg3a1yFqU/Vb83o35ghoI/AAAAAAAAS2k/DFxWzfDwO18/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SqBfiynwYt4/Vb83ozNkBBI/AAAAAAAAS2g/8waExSdjUOM/s640/3.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s72-c/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s640/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2bbfb08c-29d1-455d-a8bb-d37c553e8cac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nHGnO5J2rNo/XlvZfGZzPyI/AAAAAAALgPA/KvIiIYWJ7B4iK9f-8xGAHJ4Oc-f9SVyvACLcBGAsYHQ/s640/2bc7262c-42d3-4472-87ad-4a74096c1925.jpg)
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c08831dc-c199-4cb5-a5cb-e13b04ba822f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/d50c6fd8-9e5e-41f2-a9e7-4fa9dc5f5600.jpg)
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rYC1B31H6Vk/XmvQAlviRGI/AAAAAAABMvo/fx9kFzJo23Iecj46H4ijSBTwxO6PItMewCNcBGAsYHQ/s72-c/01.jpg)
DC MASASI AWATAKA WAFANYABIASHARA KUCHANGAMKIA FURSA NA NBC BIASHARA CLUB
Mzee amesema, Kuanzishwa kwa NBC Biashara Club liwe ni ni zoezi endelevu ili liweze kuleta tija katika mkoa wa Masasi.
Ameongeza kusema kuwa, kadri watakavyo hudumia wafanyabiashara ndivyo watakavyozidi kuleta fedha kwenye benki.
"Wafanyabiashara wa Masasi wawe makini nkuchangamkia fursa zinazojitokeza ili muweze...
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kiI10aL6MTc/XvS-6qQVuKI/AAAAAAALvb8/wWMJegT0kewF1e6of-c_2-SUTpaOGXDqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B5.43.49%2BPM.jpeg)
WANANCHI BUHIGWE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUWEKA UMEME KWA SHILINGI 27 ELFU
Na Editha Karlo,Buhigwe.
WANANCHI wa Wilayani Buhigwe Mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekaji umeme katika nyumba zao kwa sh.27,000 kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
Akizungumza leo na wananchi walipotembelea vijiji vya Munzeze, Kishanga, Kinazi na kimara vilivyopo wilayani humo, wakati akitoa elimu ya mradi wa REA kwa wananchi, Afisa masoko kutoka Shirika la Umeme Tanzania, makao makuu Dar Es Salaam, Neema Mbuja amesema wananchi waache kujiunganishia umeme bila...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--4A5Xuf5zcI/VlLE7umcwiI/AAAAAAAIH6I/Z9ZxQRGW2AA/s72-c/72dd4ee1-092f-4199-bb9d-0dc02687ea98.jpg)
Airtel Fursa yawafikia wajasiliamali wadogo wadogo Dodoma