WANANCHI BUHIGWE WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KUWEKA UMEME KWA SHILINGI 27 ELFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-kiI10aL6MTc/XvS-6qQVuKI/AAAAAAALvb8/wWMJegT0kewF1e6of-c_2-SUTpaOGXDqQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B5.43.49%2BPM.jpeg)
Na Editha Karlo,Buhigwe.
WANANCHI wa Wilayani Buhigwe Mkoani hapa wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwekaji umeme katika nyumba zao kwa sh.27,000 kupitia Wakala wa Umeme Vijijini (REA).
Akizungumza leo na wananchi walipotembelea vijiji vya Munzeze, Kishanga, Kinazi na kimara vilivyopo wilayani humo, wakati akitoa elimu ya mradi wa REA kwa wananchi, Afisa masoko kutoka Shirika la Umeme Tanzania, makao makuu Dar Es Salaam, Neema Mbuja amesema wananchi waache kujiunganishia umeme bila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWANANCHI SINGIDA WATAKIWA KUCHANGAMKIA UMEME WA REA.
Mashimo ya nguzo yakichimbwa.
Upitiaji wa nyaraka za mradi huo ukifanyika.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LszCflKckDY/XvMgyAyL0qI/AAAAAAAAlRk/e2_5Uswy9J4368p9tgYFeAamY1aHhNfbQCLcBGAsYHQ/s640/1.png)
Mjumbe wa Bodi ya Nishati Vijijini (REA) Henry Mwimbe (kushoto) akipitia nyaraka baada ya kukagua mradi wa usambazaji umeme REA II unaoendelea katika wilaya za Iramba, Mkalama, Ikungi na Singida DC. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa REA, Mhandisi Elineema Mkumbo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-HLlDBPARZ2A/XvMgyOIBKMI/AAAAAAAAlRg/fmF0bW1IHAMBEB8vNM4g_kuKkGExT2ynACLcBGAsYHQ/s640/2.png)
Mhandisi Julius Saady kutoka Kampuni ya Kateth Desco Dynamic Engineering Project Cordinator inayotekeleza mradi huo, akizungumzia hatua...
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s72-c/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA KILI MARATHON.
![](https://1.bp.blogspot.com/-XfdkI1H6L9c/XlvZq5NNtGI/AAAAAAALgPE/Kfa_I0QaelkAMSIDDmOYEKReo0BoCSAbwCLcBGAsYHQ/s640/eb0decb5-093a-415f-a395-413aaafb7433.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla akionesha Nishani aliyopewa mara baada ya kumaliza mbio za Kilometa 21 kwenye mbio za Kili Marathon leo mjini Moshi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2bbfb08c-29d1-455d-a8bb-d37c553e8cac.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nHGnO5J2rNo/XlvZfGZzPyI/AAAAAAALgPA/KvIiIYWJ7B4iK9f-8xGAHJ4Oc-f9SVyvACLcBGAsYHQ/s640/2bc7262c-42d3-4472-87ad-4a74096c1925.jpg)
KILI MARATHON 2020: Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki mbio za Kili Marathon ( KM 21) mjini Moshi leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/c08831dc-c199-4cb5-a5cb-e13b04ba822f.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/d50c6fd8-9e5e-41f2-a9e7-4fa9dc5f5600.jpg)
Na. Aron Msigwa – WMU, Moshi.
Waziri wa Maliasili na Utalii...
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s72-c/unnamed.jpg)
WAFANYABIASHARA MKOANI SHINYANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA BIASHARA KATIKA MIGODI YA ACACIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tw81UHILW7g/Vb836EeOjUI/AAAAAAAAS3Y/ryFyCNXSYNY/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QH3Ap0l4u-A/Vb83o5NY4sI/AAAAAAAAS2o/mOCVUJ-rGdY/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xWcg3a1yFqU/Vb83o35ghoI/AAAAAAAAS2k/DFxWzfDwO18/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SqBfiynwYt4/Vb83ozNkBBI/AAAAAAAAS2g/8waExSdjUOM/s640/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-fF26g4OBHLg/XkkmSopY9BI/AAAAAAABzBM/njqcjJhMNq4-jgJtBWaXkEh2zOc_Qm6JQCLcBGAsYHQ/s72-c/ome2.jpg)
BAADA YA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI TANESCO YAZIDISHA KAMPENI YA KUWAHAMASISHA WANAVIJIJI KUCHANGAMKIA FURSA HIYO
SHIRIKA la umeme Tanzania TANESCO kupitia idara ya masoko imeanza zoezi la kutoa elimu kwa wananchi wa wilaya na vijiji vya mkoa wa Tabora.Lengo la utoaji huo wa elimu ni kuwaelimisha wananchi wanaopitiwa na mradi wa REA awamu ya tatu(REAIII) kufahamu taratibu za kuunganishiwa umeme pamoja kuchangamkia fursa za mradi kabla hazijaisha. Miongoni mwa wilaya ambazo tayari zimepitiwa na na sasa ziko kenye zoezi hilo la kupatiwa elimu ni wilaya ya Uyui, Sikonge, na baadae zitafuatiwa na wilaya ya...
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Wananchi watakiwa kujiandaa kwa umeme