WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA WATAKIWA KWENDA KUPATA MATIBABU MAPEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s72-c/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
Na WAMJW-Dodoma.
Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wametakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake wametakiwa kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika kuadhimisha siku ya Fistula duniani inayoadhimishwa tarehe 23 Mwezi Mei kila Mwaka, yenye kauli mbiu mwaka huu inayosema “Tokomeza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AeY8abfiDO-YzfABuS16FyhIZr59VVkT1YAlmexooRNzS6XgxUqzs5-K1x8k505yw-x-u1aWuRD6TBJ962rBirI/couples66666.jpg)
TATIZO NI WANAWAKE WENYE MSHIKO AU WALIOTESWA?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j93EW5bFcwk/XliXAOP_s2I/AAAAAAALfwY/bfJA2HYoF9AKeiyvoK1ah_dVZakSvXGpACLcBGAsYHQ/s72-c/0e0b897d-7a86-404c-850e-bd74f0f19bfc.jpg)
WANAWAKE WATAKIWA KUACHA UOGA NA BADALA YAKE WAPAMBANE KUPATA FURSA ZA KIELIMU, KISIASA NA KIUCHUMI
Charles James, Michuzi TV
WANAWAKE nchini wametakiwa kuacha uoga katika mapambano ya kutafuta fursa za kielimu, uchumi au kisiasa na badala yake wajikite katika kupigania haki yao hasa ya usawa wa jinsia.
Pia wametakiwa kufahamu kwamba hakuna mtu mwingine ambaye atakuja kupigania haki ya mwanamke zaidi ya wanawake wenyewe na wasipofanya hivyo nafasi za kiuongozi watabaki kuzisikia tu.
Hayo yamesemwa na Spika Mstaafu wa Bunge, Mama Anne Makinda jijini Dodoma wakati akizindua kongamano la...
10 years ago
Michuzi29 Aug
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
‘Text to treatment’ yasaidia wenye fistula
HUDUMA ya matibabu kwa njia ya simu ya mkononi ‘Text to Treatment’ inayotolewa kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Vodacom Tanzania na taasisi isiyo ya kiserikali ya CCBRT katika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s72-c/001.CCBRT.jpg)
WANAOSUMBULIWA NA MARADHI YA FISTULA WATAKIWA KUJITOKEZA WATIBIWE BURE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WEJ3mfTOKlo/VkHek4HvW_I/AAAAAAAIFMg/eE16RXLJZtM/s640/001.CCBRT.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HFQ3F77e16E/VkHelAh8n5I/AAAAAAAIFMY/Hgpgh48p4jI/s640/002.CCBBRT.jpg)
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Waislamu Uingereza watakiwa kufungua mapema
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]
The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...