‘Text to treatment’ yasaidia wenye fistula
HUDUMA ya matibabu kwa njia ya simu ya mkononi ‘Text to Treatment’ inayotolewa kwa ushirikiano baina ya Kampuni ya Vodacom Tanzania na taasisi isiyo ya kiserikali ya CCBRT katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Airtel yasaidia wanawake wenye kansa
UMOJA wa wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania unaofahamika kwa jina la ‘Airtel Divas’ wameandaa hafla ya kuchangisha fedha ili kusaidia kinamama wanaosumbuliwa na maradhi ya kansa katika Hospitali ya Ocean...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s72-c/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA WATAKIWA KWENDA KUPATA MATIBABU MAPEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s400/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wametakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake wametakiwa kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika kuadhimisha siku ya Fistula duniani inayoadhimishwa tarehe 23 Mwezi Mei kila Mwaka, yenye kauli mbiu mwaka huu inayosema “Tokomeza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s72-c/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
MAMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WENYE UGONJWA WA FISTULA KUJITOKEZA NA KWENDA KUPATA MATIBABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoO36F3BfSM/U9YcUpTr1hI/AAAAAAAF7UY/0tmPxLKgVgY/s1600/4mama-salma-akisoma-hotuba-1024x682.jpg)
Wanawake wenye tatizo la ugonjwa wa Fistula wametakiwa kutokuogopa na kukaa kimya bali wajitokeze hadharani kwa kwenda Hospitali kupata matibabu au kuwaambia viongozi wao ili waweze kuwasaidia kwani ugonjwa huo unatibika na matibabu yake ni bure.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JIFPnS19jZ8/VWre_YCuL5I/AAAAAAAHa7w/fK5W0rf64BM/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
CBA yasaidia wenye mahitaji maalumu kupitia mashindano ya mbuzi
![](http://3.bp.blogspot.com/-JIFPnS19jZ8/VWre_YCuL5I/AAAAAAAHa7w/fK5W0rf64BM/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iF6XW1X9BmI/VWrfAHhax3I/AAAAAAAHa70/Fgdgk2uDHp8/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMkuu wa Wilaya Igunga awaambia wananchi “Chonde chonde fichueni wanaoficha wenye maradhi ya Fistula”
10 years ago
GPLMKUU WA WILAYA IGUNGA AWAAMBIA WANANCHI “CHONDE CHONDE FICHUENI WANAOFICHA WENYE MARADHI YA FISTULA”
Wakazi wa Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora, wakimsikiliza kwa makini Mkuu wa Wilaya hiyo Mh. Zipporah Pangani,  alipokuwa akiwaelewesha juu ya maradhi ya Fistula wakati wa kampeni ya kutoa elimu kuhusiana na maradhi hayo wilayani humo.Kampeni hiyo inayoendeshwa na Hospitali ya CCBRT na Vodacom Foundation inaendelea kufanyika katika mikoa mitatu kuwasisitiza wanaume  kuwaruhusu akina mama kujitokeza ili...
9 years ago
The Hindu30 Oct
Still waiting for the holy text...
The Hindu
Tanzania is a poor country, and large parts of even its commercial capital Dar es Salaam are just shanty town. The airport is tiny, everything accommodated in a few hundred square metres. And the toilets are old, with crumbling cement and chipped fitments.
11 years ago
Daily News08 Mar
CA albinos ask for large font text
Daily News
Daily News
MEMBERS of the Constituent Assembly, who live with albinism, have complained that they are supplied with documents whose fonts are too small for them to read. They have asked the seminar to be adjourned until the shortcoming is addressed. Mr Ernest ...
10 years ago
TheCitizen13 Dec
Text messaging in the dating phase
Texting has evolved over the years. Today, there are multiple shorthand texting styles that people, mostly the youth, like indulging in. Texting’s the best thing that’s ever happened to dating. And the worst — like it lowers our inhibitions, so we text things we wouldn’t normally say.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania